Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

sasa kwa nini yeye atake kuaminisha kuwa ni kweli wakati si kweli?shida ndo ipo hapo tu. hii story inasimuliwa kwenye group yeye anaileta huku akijifanya ni yake
Ila unagubu sana. Angalia comments zako jitafathimin.

Kwani nilazima uaminishe watu kuwa hii ni story ya uongo?

Kila MTU anasoma na anaelewa huna haki ya kushikia bango hata kama si ya kweli. Una ajenda nyingine wewe.
 
Jinsi kidagaa alivyomdhibiti Mpwayungu village mtasubiri sana lbda kidaa aamua kumwachia [emoji116][emoji116]
20220515_192441-1.jpg
 
Unaficha ili iweje?? ... km umeamua kuweka wazi weka tujue!! unaficha nani ana shida na licheti la division four failure karibu na zero!......

kufanya ivo unaweza chukua cheti chochote kile ofisini kwako hapo hata kwa rafiki yako au ndg yako hasa km unatoaga photocopy Machines!...si wanakuja wateja wengi tu hapo!....na

kama wangekuwa wanaweza kuiba hivyo vyeti ki ivo basi Watoa photo copy wangekuwa matajiri sana!...umeamua kuonyesha onyesha tuu kila mtu humu anacho tena zaidi ya hicho!! mfyuuuxcvxvzvz!
Angeacha sehemu ya reg no tu tungejua
 
yaani story za jf huwa zinaanza hivi,

sehemu ya kwamza ni (utumishi) huwa zinashuka haraka haraka sana,zinaweza tengwa na michango miwili miwili ya wasomaji.

sehemu ya pili ni(utegeaji)mleta story anapunguza speed ya kushusha story lakini mi msikivu,akiombwa aendelee anaendelea kwa kutoa sehemu kadhaa kisha anaomba udhuru,wakati huu itaendelea .......huwa ni nyingi.

sehemu ya tatu (udenguaji)mara nyingi hapa story huwa imenoga, hapa sasa story inakatwa ,katwa mnashindwa kujua hatima yenu[emoji16][emoji16],mletamada hajibu michango,akionekana anarusha moja anapotea,au anaweka ahadi ya siku,siku ikifika anaweka episode moja tu analala mbele.

sehemu ya nne(uvunaji )hapa ndipo sasa watu huanza kuitwa telegram kimya kimya,kwenda kuilipia huko sehemu zilizobaki kwa kujinoma.

sehemu ya tano(armagedon)hii huwa ni vita rasmi kati ya waliokuwa wanafatilia kwa umakini na mleta mada,hapa nisitie neno sana,lakini kimsingi mtu asipokuwa makini hakuna silaha itaacha kutumika,maana wananzengo wanakuwa wamemind kweli kweli,si ajabu mleta mada akaunganishiwa ID nyingine ambayo hataki tuijue,na mara nyingi story huwa inaishia hapa maana strong room zote huvunjwa,tutajua hata kama story umeiba sehemu.


NOTE,mods tunaomba mtu akianzisha story na kuishia hewani apigwe ban ya maisha,maana anautumia mtandao huu kutapeli watu.
Una akili sana 👍
 
Kuna muda yakupasa kutumia kichwa chako kufikiri, Usibebe hicho kichwa juu ya mabega yako kama mzigo, Au sawa na mizigo mingine

Jitahidi uwe unafikiri

Umejaa negativity sana, Try to be positive

Kwa tabia yako hii huwezi Ishi na watu wala ndugu vizuri

100% hukunyonya maziwa ya mzazi kama sheria inavyotaka, Uliwahi kuachishwa mapema kunyonya maziwa ya mzazi hivyo ubongo wako haujajengeka vizuri

Watu aina yako wanahitaji tiba ya kisaikolojia
Out of point
 
Unaficha ili iweje?? ... km umeamua kuweka wazi weka tujue!! unaficha nani ana shida na licheti la division four failure karibu na zero!......

kufanya ivo unaweza chukua cheti chochote kile ofisini kwako hapo hata kwa rafiki yako au ndg yako hasa km unatoaga photocopy Machines!...si wanakuja wateja wengi tu hapo!....na

kama wangekuwa wanaweza kuiba hivyo vyeti ki ivo basi Watoa photo copy wangekuwa matajiri sana!...umeamua kuonyesha onyesha tuu kila mtu humu anacho tena zaidi ya hicho!! mfyuuuxcvxvzvz!
Samahani tunaomba vya kwako kama ulichoandika uliandika ukiwa na akili timamu?
 
Back
Top Bottom