Pamoja na maoni yako mazuri, hapa hakuna uhalisiaprivate sio sehemu salama ya ajira utakufa masikini bila hata kiinua mgongo. Kazi za pale huwa za muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na maoni yako mazuri, hapa hakuna uhalisiaprivate sio sehemu salama ya ajira utakufa masikini bila hata kiinua mgongo. Kazi za pale huwa za muda tu
inaweza kuwa kampuni na ikasajiliwa brela na wizara ya elimu. Ishu ni mishahara yao kwa walimu ni midogo tena hakuna mikataba ya kueleweka. Watu wa idara ya kazi wakienda kukagua huzugwa tu kuwa hao walimu wanajitolea bure ili kuficha ukweli kuwa ni waajiriwa wao wasiopelekewa fedha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamiije? shule sio kampuni na je? shule inasajaliwa na nani brela ama nani?
Si sahihiafadhali huko unafanya kazi akili imetulia at the end unalipwa mafao kutokana na rate ya mshahara ulioishia nao. Sasa huko shule za private kuna nini kama si kufanya kazi under high pressure tension? Shame on them!
uhalisia ni upi? Kama kuna malipo mazuri na ya heshima ni kwa shule za misheni na taasisi zingine zenye kujali elimu, the rest wamiliki ni matapeli watupu hawalipi walimu mishahara yenye hadhi za viwango vya elimu zao kwa mujibu wa scale za serikaliPamoja na maoni yako mazuri, hapa hakuna uhalisia
usahihi ni upi?Si sahihi
Hii lazima ingemlaYule mwalimu masikini hakuwa na vikundi afu alikuwa analalamikiwa kwanini hapigi fimbo wanafunzi kwanini yupo fair sana anaenda against na wenzake
Kwani kwenye kuomba si watu wanasemaga wao wenyewe I will under pressureafadhali huko unafanya kazi akili imetulia at the end unalipwa mafao kutokana na rate ya mshahara ulioishia nao. Sasa huko shule za private kuna nini kama si kufanya kazi under high pressure tension? Shame on them!
Mzee ili utajirike principle Namba moja ni kuminimize cost kwa hali na mali Yan acha punda afe Ila mzigo ufike, we si unawaona wahindi na wachina jinsi wanavolipa pesa kiduchu na viboko juuinaweza kuwa kampuni na ikasajiliwa brela na wizara ya elimu. Ishu ni mishahara yao kwa walimu ni midogo tena hakuna mikataba ya kueleweka. Watu wa idara ya kazi wakienda kukagua huzugwa tu kuwa hao walimu wanajitolea bure ili kuficha ukweli kuwa ni waajiriwa wao wasiopelekewa fedha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii
Kwo unataka kusema mafuru, nchemba,mizengo, na wengine kama ni maskiniAjira ni utumwa ajira ni kufa masikioni
Huu no ukweli toka dunia imeumbwa hakuna tajiri mfanyakazi!!
Pole sana manNajua asilimia kubwa wakati tunasoma tulikuwa hatuwapendi walimu wa mathematics.
Tuingie kwenye story
Basi bwana mnamo mwaka 2007 mwezi wa kumi na mbili nikawa nimeenda kuchukua cheti pale shuleni kwetu! Private schools.
Kwa bahati ilikua wiki ya mwanzo ya ndio wanafunzi wamefunga kama kawaida Kila shule huwa Ina utaratibu wake!
Basi! Walikuwa kwenye kikao cha maendeleo ya kitaaluma ya mwaka mzima! Mkurugenzi, manager pamoja na walimu wote kikao kikaisha kilichukua masaa matatu mvutano ulikuwa mkubwa sana.
Kwasababu sikuwa mbali sana na Ile hall ya kikao ya madirisha ya grill niliona karibia wote walipewa bahasha Kila mwalimu.
Baada ya kikao kuisha Mwalimu wangu moja kwa moja alikwenda kuisomea chooni🥺alitoka chooni huku machozi yakimtoka wakati ule alikua na miaka 37 na mkewe ndo alikua kajifungua mtoto wa Tatu mwenye mwezi mmoja (alinisimulia hayo yote) sikuwa na kumsaidia zaidi ya kumtia tu moyo nilijifunza kitu kikubwa.
Alilalamika mwalimu mwenzake aliyekuwa anafundisha physics alitaka kufundisha na hesabu ili aongezwe mshahara akafanyiwa fitna kazi ikaota nyasi bahati mbaya jamaa hakuwaga chawa wa boss mwenzake alikuwa chawa mzuri.
Popote ulipo mwalimu wangu mathematics Mungu akupe afya na siha njema. Kuachishwa kazi ni mtihani mkubwa sana.
Makazini kuna mambo mengi mno, kwakweli ni vema mtu kuwa muombaji maana watu majungu, ushirikina na uchawa vimetawala sanaKazini Kuna watu Wana roho mbaya mno ndio maana binafsi umoja wa kazini (vikundi) nilikataa mapema sana .
Na huo ushirikina na majungu usidhani ni WA level ndogo la hasha ni ule grade oneMakazini kuna mambo mengi mno, kwakweli ni vema mtu kuwa muombaji maana watu majungu, ushirikina na uchawa vimetawala sana
Unajua kwanini nimeandika huu uzi??Pole sana man
Uliona jambo BAYA ukiwa Bado mtoto!!
Hii itakuathiri kisaikolojia coz utawaonea huruma wale wazembe kwenye kampuni yako!
Mkuu unamaanisha Kuna watumishi watafukuzwa kazi!!?Unajua kwanini nimeandika huu uzi??
Ni private, serikalini hakuna ujinga huo, mpaka ufukuzwe umeonywa mara tatu. Hata hivyo somo la hesabu hatakosa mahali pa kujishikiza. Aliyekufanyia hivyo nenda kilingeni ili aokote makopo.
Ni kweli kabisa ndugu, ila hiyo nature ya kufanyiana haya mambo inatoka wapi? Ndio najiuliza sana?Na huo ushirikina na majungu usidhani ni WA level ndogo la hasha ni ule grade one
Makazini ndiko kumejaa magonjwa yasiyoambukizwa
Hivyo sanaHiyo shule ni ya private? Kama ni ya private huko huwa hakuna ajira ya kudumu ni kibarua tu, mshahara wako ndio pensheni ukiupata usidhani kwamba kuna mwingine utapata, unaweza kufukuzwa wakati wowote. Ni ushenzi mtupu ajira za huko hazina security
Hapana mimi mwenyewe kuna biashara yangu ni nafanya Sasa nilijaribu kuwa na huruma Baada ya kum-delegate mtu asimamie then nimekula loss for four month sababu ya kuona huruma ataenda wapi nikawa nataka kumfukuza but nakumbuka zile ups and downs nilizopita nae kweny biasharaMkuu unamaanisha Kuna watumishi watafukuzwa kazi!!?
Nambie aiseh!
Nakazia hapa,ubaya ubwelaNi private, serikalini hakuna ujinga huo, mpaka ufukuzwe umeonywa mara tatu. Hata hivyo somo la hesabu hatakosa mahali pa kujishikiza. Aliyekufanyia hivyo nenda kilingeni ili aokote makopo.