Kwanza jua kuwa kila mtanzania anayefanya kazi popote lazima alipe PAYE na kukatwa aidha 10% kam yupo private ikiwa ni mchango wake NSSF. Hivyo kusema hawana mafao, si sahihi.usahihi ni upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza jua kuwa kila mtanzania anayefanya kazi popote lazima alipe PAYE na kukatwa aidha 10% kam yupo private ikiwa ni mchango wake NSSF. Hivyo kusema hawana mafao, si sahihi.usahihi ni upi?
Inatoka kwenye tamaa na wivu ambavyo huzaa roho mbayaNi kweli kabisa ndugu, ila hiyo nature ya kufanyiana haya mambo inatoka wapi? Ndio najiuliza
Kama hauko vizuri kipengele ganKazi ya ualimu ina changamoto sana,kwanza walimu hawapendan...kuna walimu wachawi kichizi yan..kama hauko vizuri ualimu hautoboi....
Walimu wengi hawana exposure, huwa hawakubali kukatwa NSSF kwa kigezo cha udogo wa mshahara na wanaokatwa huwq hawafuatilii kama michango yao inapelekwa ama laah!.inaweza kuwa kampuni na ikasajiliwa brela na wizara ya elimu. Ishu ni mishahara yao kwa walimu ni midogo tena hakuna mikataba ya kueleweka. Watu wa idara ya kazi wakienda kukagua huzugwa tu kuwa hao walimu wanajitolea bure ili kuficha ukweli kuwa ni waajiriwa wao wasiopelekewa fedha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii
Mimi ndio maana nilijijengeaga utaratibu wa kuacha kazi mwenyewe mapemaa mahala poote nilipopita kufanya kazi kabla sijaamua kujisimamia mwenyewe .👉Kuachishwa kazi, ni mtihani mkubwa sana
😭😭😭💪🏿🙏🏾
🤣Wema wema... Kumaanishaa.... 🏃♂️🎼Makazini huku kuchomana nje nje
Wemaa wemaaa wema kouma nyoko
REMMY ONGALA
We elewa tu hvyo...!!!Kama hauko vizuri kipengele gan
niseme ukweli tu kwa hili, nilijikuta nimekwa kati na staff nzima iko kinyume nami, wacha tuvaane na mkuu wa shule aliyeonekana ni baba yangu kabisa wa kunizaa tukakwidana kisha nikamfuata makamu wake nikamkunjia ngumi. Ilikuwa ni vita kubwa iliyoishia kuamuliwa na wanafunzi walioona naonewa na wenzangu. Kuna majungu sana maofisini, wivu na fitna zipo sana tuKazi ya ualimu ina changamoto sana,kwanza walimu hawapendan...kuna walimu wachawi kichizi yan..kama hauko vizuri ualimu hautoboi....
WeziKwo unataka kusema mafuru, nchemba,mizengo, na wengine kama ni maskini
Popote ulipo mwalimu wangu mathematics Mungu akupe afya na siha njema.
👉Kuachishwa kazi, ni mtihani mkubwa sana
😭😭😭💪🏿🙏🏾
😭😭😭💪🏿🙏🏾