Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Nilisemaga hizi habari za kuandika visa na kuacha nusu sio poa,unaacha watu naa arosto kali,bora usiandike
 
Dada chizi unaongelea unayopitia aiseee pole Kanawe basi. Halafu utafute cha kufanya humu wengi wameshakuchoka. Mnakosa kazi mnakaa kutafuta waume kwenye nyuzi. Umri huo unanuka mkojo
Kanawe basi. Halafu utafute cha kufanya humu wengi wameshakuchoka. Mnakosa kazi mnakaa kutafuta waume kwenye nyuzi. Umri huo unanuka mkojo. 😁
 
Wanamalizia hasira kwa muandishi!

Kama Ni kweli au uongo ...Soma sepa..
Unatumia nguvu mpaka za ziada kubishana na mwandishi .. ..akili kichwani mwako..ukiona kamba ..nyingi achana nayo.

Mambo ya kitoto mno!

Stress shida Sana!
Sasa hapa wewe ndo umeonesha una stress. Hizi stories why zinawatoa imani hivyo? Sisi wengine tunakuja humu kutafuta wa kuwatoa makamasi na kuamsha stress zao tuna enjoy. Tafuteni kazi shauri lenu. Mtakuja olewa na watunzi kwa stories tu. Mwacheni mtunzi atunge kwa utulivu
 
Dada chizi unaongelea unayopitia aiseee pole Kanawe basi. Halafu utafute cha kufanya humu wengi wameshakuchoka. Mnakosa kazi mnakaa kutafuta waume kwenye nyuzi. Umri huo unanuka mkojo
Ha ha ha..... Unakasirika hawaweka episode nyingine? Halafu unajichanganya eti mimi ambaye sioni haja ndo sina kazi. Ila wewe unayelia lia unayo.... Bitch you gonna be crazy so soon.
 
Kanawe basi. Halafu utafute cha kufanya humu wengi wameshakuchoka. Mnakosa kazi mnakaa kutafuta waume kwenye nyuzi. Umri huo unanuka mkojo
Ha ha ha..... Unakasirika hawaweka episode nyingine? Halafu unajichanganya eti mimi ambaye sioni haja ndo sina kazi. Ila wewe unayelia lia unayo.... Bitch you gonna be crazy so soon.
 
Dahh story imeishia njiani ,[emoji23][emoji23][emoji23]pumbavu..
 
Ukishaona itaendelea ujue ni chai
 
Sijafurahi mtunzi kuondoka Kwani kulikuwa na mengi ya kujifunza. Wapeni watunzi space wafanye yao then mtauliza maswali. Pia nyie watunzi hii mambo ya itaendelea ndio inaleta yote haya mjitahidi kuandaa story zenu zikikamilika Mnatupia tu mzigo
 
Naona criticsm zimekuwa nyingi kwahiyo nitaishia hapa kwenye episode 6 ahsanteni wote kwa kufuatilia, niko naendelea kupambana
Ukisoma comments humu hautaweza maliza story,hata wachawi wenyewe wapo humu,hawapendi vitu vyao vijulikane,hawapendi maeneo yao yajulikane,wapo wajinga na werevu humu,wapo wanaotaka ya kwao ndo yafatiliwe kuliko wengine,wapo wengine matapeli tuu wanataka wa koroge koroge utawaona PM na ID zingine...,we funga macho maliza story sehemu zinagusa watu kabisa hasa dini unaijenga kidogo isiwakwaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…