Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Nahisi ni story

Katika adiko umesema
1. Ulivua bangili Ili wachawi wasikugundue, ( na ndo lilikuwa likikusaidia kuona vya rohoni) lkn mara ukaona yule mchawi anaingia (ulimwonaje huku umevua bangili?)

2. Kama sikosei unasema mganga wako alikupeleka Siku chache zilizopita (tena mara Moja) kuona kilinge Cha wachawi. Sasa wewe

a) Ulipata wapi ujasili wa kushindana na mchawi mkuu ingali unasiku chache ndo umeanza kuviona

b) Je mda huo mfupi unatosha kuwatambua wachawi waliokuwepo huko Tena wamevaa kichawi halafu ukawatambua msibani mchana wakiwa wamevaa nguo za kawaida (halafu Kwa mda huu wewe ulikuwa mgeni kijijini hapo).

3. Unasema uliwakuta mwl mkuu na wanafunzi wamelazwa nje? Ok sawa.

a) Hivi ni rahisi Kwa mgeni wa kuona mambo hayi, eti ukabaki shuleni Kwa ujasili huo ( Tena mwajiliwa mpya!!!?)


This is BIG NO
....................
Labda hebu tuchukulie hii ni story kama story zingine.

1. Pamoja na kuvua bangili niliweza kumuona yule mchawi, sio kila mchawi anakuja kwa njia isiyo onekana, usikariri hata wewe unaweza kumuona mchawi ukitaka.

2 a) Ujasiri niliupata kwa sababu mimi ni jasiri tangu nikiwa mdogo, siwezi kukwambia yote kuhusu mimi, pia kuna kitu kinaitwa adrenal gland, unaweza kujikuta umekuwa jasiri bila kutegemea.

b) Niliwatambua baadhi japo sio wote lazima uwe na akili ya kidadisi na kiuchunguzi.

3. (a) Soma vizuri kipengele hicho nilifika shuleni asubuhi ndio nikawakuta hao walimu wenzangu.

NB. Kama unaswali jingine unakaribishwa pia.
 
Endelea mkuu.

Ila wee nae king'ang'anizi duuuh. Muda wote huo me ningeshawachie kijiji chao na kusepa.😂
 
Nahisi ni story

Katika adiko umesema
1. Ulivua bangili Ili wachawi wasikugundue, ( na ndo lilikuwa likikusaidia kuona vya rohoni) lkn mara ukaona yule mchawi anaingia (ulimwonaje huku umevua bangili?)

2. Kama sikosei unasema mganga wako alikupeleka Siku chache zilizopita (tena mara Moja) kuona kilinge Cha wachawi. Sasa wewe

a) Ulipata wapi ujasili wa kushindana na mchawi mkuu ingali unasiku chache ndo umeanza kuviona

b) Je mda huo mfupi unatosha kuwatambua wachawi waliokuwepo huko Tena wamevaa kichawi halafu ukawatambua msibani mchana wakiwa wamevaa nguo za kawaida (halafu Kwa mda huu wewe ulikuwa mgeni kijijini hapo).

3. Unasema uliwakuta mwl mkuu na wanafunzi wamelazwa nje? Ok sawa.

a) Hivi ni rahisi Kwa mgeni wa kuona mambo hayi, eti ukabaki shuleni Kwa ujasili huo ( Tena mwajiliwa mpya!!!?)


This is BIG NO
....................
Labda hebu tuchukulie hii ni story kama story zingine.
Huku jf tunakuja kerelax
Hizi nguvu unazotumia za kukosoa nyuzi za watu ambao hata uwajui zitumie kwenye maisha yako
 
Kuna maneno unaongeza sana chumvi. But pia huwezi kulia maneno hayo sijui mtetezi wangu amekufa nitatetewa na nani..... Hayo ni maneno ya ufalah. Mwanaume hawezi lia hivyo so rekebisha. Pia unapotunga angalia maneno ya kutumia na usiweke chumvi sana. Maana naona yaani unazidisha hata uhalisia. Pamoja na kuwa wasomaji wanapenda stories za uchawi. Too much is harmful.
na wewe sasa umezidi mtoto wa kiume kurusha rusha mipasho kama upo na dada zako umu ndani
 
Naona criticsm zimekuwa nyingi kwahiyo nitaishia hapa kwenye episode 6 ahsanteni wote kwa kufuatilia, niko naendelea kupambana na chaki.
Teacher just keep rolling, don’t waste your time for insane people! Shusha vitu imefikia pazuri sana..Tupe mwendelezo tafadhali😂😂
 
Back
Top Bottom