Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Chai
 
Kuna dem nlikutana naye kwenye basi akasema kwao ni kwa msisi ..... sasa basi kwa stori hii simtaki tena
 
Hapa mwandishi kateleza na mi nimeliona
 
Safi sana dogo. Lete stories watu waburudike. Kesho hakikisha unaleta episodes za kutosha. Umeshamaliza kuandaa lesson plan? Na scheme of work? Piga kazi dogo ila usisahau kutuletea visa mbalimbali vya kichawi.
Wahaya mbona mko hivi? Si utulie!!
 
Bado tunasubiri umalizie hiyo iliyobaki mkuu

Ili kuondosha maneno
Tunakuomba unganisha yoote safari hii sio roborobo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…