Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SITTA a.k.a mpigania haki will be the right candidate for presidency in 2015 kwa chama mbadala
jamani 6 na madudud yake yote punguani gani atampa urais? ivi mnajua kuwa kuwa rais ccm ni pamaoja na kuwa mwenyekiti wa ccm? 6 bunge la watu 300+ tu limemshinda ataiweza ccm na serikali ya tz nzima? acheni mizaha enyi wana. kachezeni na chadema si ccm. hawawezi kufanya kosa kama hilo