Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Sasa si bora kukawa na bunge kivuli la katiba manake kukawa na spika kivuli ili watu waridhike, wabongo bana mtu anasimamia misimamo yake wakati hata sio mpiga kura wa kuchagua spika.
Kwani sie ambao sio wajumbe wa bunge la katiba tukiwaachia waliokuwa bungeni tutakufa, mbona tunajihusisha hata na visivyotuhusu. Sita kama sifa anazo akajiuze kwa wapiga kura wake ili wamchague kuuza sura katika media ndio kampeni zenyewe sasa wakati hata kanuni bado.
Kwani sie ambao sio wajumbe wa bunge la katiba tukiwaachia waliokuwa bungeni tutakufa, mbona tunajihusisha hata na visivyotuhusu. Sita kama sifa anazo akajiuze kwa wapiga kura wake ili wamchague kuuza sura katika media ndio kampeni zenyewe sasa wakati hata kanuni bado.