Punga wewe! Umejiunga lini JF? Read between the lines! My msg was a lamenting kwa huyu anayejifanya sitti. Najua wanataka tuache kusaka ujinga wake ili apumue! Mkuu sikuwa na maana ingine falaa wewe!
Waandaaji wa miss Tanzania watoa tamko kuhusu taharifa isiyo rasmi inayosambazwa mtandaoni http://theinnovationhouse.blogspot.com/2014/10/red-miss-tanzania-sitti-mtevu-bado-ni.html?m=1
Siti IQ yake ni ndogo mno kama babake Mtemvu huyu mzee alisomaga shule moja na mjomba angu anasema alikuaga mbumbumbu darasani hakua akielewa chochote a.k.a zuzu hihihiiiiii,uncle alishangaa sana aliporudi TZ maana anaishi nje, cku moja tunaangalia TBCCM anamuona Mtemvu eti mbunge wa Temeke,he.waz shocked xtremely shocked,akiniuliza mara kibao hv Tz kukoje?! Huyu nae zombi anawezaje kua mbunge eti msemaji na mwakilishi wa wananchi?! Ataongea nini huyu? Kama yupo humu huyo mzee au team yake bisheni basi nimwage ubuyu zaidi
sio kweli
Kuna habari zinasambaa kwenye mtandao wa FB kuwa miss wetu amejiuzulu. Ni kweli?
Sio kweli,imeshakanushwa hiyo habari
%%% whatsoever....atavua tu....nina zake, akafie mbele, anaitia serikali aibu kubwa sana....
Hivi hiii idara ya uhamiaji...kazi yake ni nn..!!? Kwann wamelala na wanachafuliwa..!!? Basata wako kimya..!!!! Rita wamesema wanachunguza wakati wanajua ame foji....nyaraka ziko..
==> sitti committed criminal act....!!! Lazima ashitakiwe na jamhuri ya tanzania....mwizi huyu..!!
Kiendacho kwa mganga hakiludi , isitoshe pesa zenyewe Lundenga alilipia Deni kwa Yule Mhindi aliyekuwa kampeleka Mahakamani kuzuia Miss Tz isifanyike , Pesa imeliwa tayari huyo Binti Kama kweli kajivua Gamba la U-miss wa Rushwa itakula kwake.Itabidi Lundenga arudishe hela alizo ongwa na Mtemvu dah what comes around goes around.
Ni kweli kabsa Watanzania huwa ni Wepesi wa Kusahau sana mengi yameshasahaulika kwa kasi ,mfano Barozi wa Libya alijiua kisa wajanja walimdhulumu Mapesa mengi ya Marehemu Gadafi lakini Hakuna aliyewahi kujua Pesa za Gadafi zilienda wapi, wala kutaka kufahamu kisa za Barozi kuijua.Huyo Lundenga na huyo binti wote ni viazi!
Manake mpaka sasa nashindwa kuamini kama wao waliamini wangeweza kuushawishi umma wa Watanzania na hicho kimkutano chao na waandishi wa habari.
Badala yake ndo wakazidi kujichoresha tu.
Wangekuwa wana akili wangeuchuna na pengine watu wangesahau manake Watanzania nasi kumbukumbu zetu huwa ni fupi sana.