Ellyson
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 1,714
- 405
Msipende kuingizwa mkenge na mitandao ya kijamii. Na msipende kila mkirushiwa jambo kwenye Whatsapp sijui mnawahi kuanzisha thread....
Ni ushauri tu......
Kweli Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msipende kuingizwa mkenge na mitandao ya kijamii. Na msipende kila mkirushiwa jambo kwenye Whatsapp sijui mnawahi kuanzisha thread....
Ni ushauri tu......
Sema ni mkali kwa shape ile tuipendao mie na sheikh Kipozeo yaani Miss Bantu zile nyama mashalllah alizowajalia Allah. Wewe penda hao wa Kizungu. Ila mimi na Sheikh kipozeo tunapenda wale wenye nyama ukiona unapata raha. Picha ile niliyoonyeshwa hapa JF wakati bi Sitti yuko kwenye graduation ndo mke haswaa ambao ni shape safi tuipendao wengine.
Kama bi Sity uko humu ni pm tafadhali.
Kafanya la maana sana, na huyo Lundenga kuanzia sasa awe makini na mashindano yake ambayo yameingia dosari kubwa vinginevyo yatakosa mvuto.
kwangu yashakosa mvuto siangalii tena labda wamtoe lundenga!
Ni kweli watafute mtu mwingine makini ludenga na kampuni yake wanyimwe kibali cha kuyaendesha kwangu haya mashindano hayana mvuto kabisa
Kuna mtu ana wachezea akili taji alivuliwi fb!