Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

:flame::flame::flame:ashitakiwe kwa kudanganya umri pili arudishe mataji yote akianzia la kitongoji temeke na Tanzania....
 
Sema ni mkali kwa shape ile tuipendao mie na sheikh Kipozeo yaani Miss Bantu zile nyama mashalllah alizowajalia Allah. Wewe penda hao wa Kizungu. Ila mimi na Sheikh kipozeo tunapenda wale wenye nyama ukiona unapata raha. Picha ile niliyoonyeshwa hapa JF wakati bi Sitti yuko kwenye graduation ndo mke haswaa ambao ni shape safi tuipendao wengine.

Kama bi Sity uko humu ni pm tafadhali.

Neema za Allah. Halafu unapewa wanawake 40 peponi na huku unapewa nguvu za wanawake 100 yaani nguvu za wanawake 60 zinabaki kwanza, peponi jamani kuzuri Allah Akbar, Allah tujalie tuwe ni wale wenye kuingia peponi. Ameen
 
Haters mtajiharishia mwaka huu, Siti atabaki kuwa Miss Tanzania, Msiompenda jinyongeni
 
Ivi watu hawana kazi za kufanya.
??
Taifa linahitaji maombi hili.
 
Siti IQ yake ni ndogo mno kama babake Mtemvu huyu mzee alisomaga shule moja na mjomba angu anasema alikuaga mbumbumbu darasani hakua akielewa chochote a.k.a zuzu hihihiiiiii,uncle alishangaa sana aliporudi TZ maana anaishi nje, cku moja tunaangalia TBCCM anamuona Mtemvu eti mbunge wa Temeke,he.waz shocked xtremely shocked,akiniuliza mara kibao hv Tz kukoje?! Huyu nae zombi anawezaje kua mbunge eti msemaji na mwakilishi wa wananchi?! Ataongea nini huyu? Kama yupo humu huyo mzee au team yake bisheni basi nimwage ubuyu zaidi

Umenichekesha sana!!!kumbe mtunga sheria ni zombi
 
Neema za Allah. Halafu unapewa wanawake 40 peponi na huku unapewa nguvu za wanawake 100 yaani nguvu za wanawake 60 zinabaki kwanza, peponi jamani kuzuri Allah Akbar, Allah tujalie tuwe ni wale wenye kuingia peponi. Ameen

Shehe Kipozeo huwa namkubali sana.
 
Sizitaki mbichi hizi!! Hahahahha demu mchafu kama watoto wote wa fisadi tanzania. Ingekuwa siku za Edward Moringe Sokoine fisadi wote wangenyongwa......
 
jamani hebu muacheni apumue, utafikiri akilivua hilo taji mtavaa nyie. kuna mengi ya kupigia kelele nchi hii zaidi ya hilo la miss tz. nani kanunaaaaa??????
A%20S%20wink.gif
 
Haaa team SITTI wapo weng ila hawajapata fursa tu.
 
Bibi kawa miss...💨💨💨💨💨💤💤💤💤
 
Sawa, ila kesi ya kugushi cheti cha kuzaliwa iko palepale coz RITA wanaendelea na uchunguzi haijalishi una Taji au umelivua.
Huu ni mwaka wako Sitti, hadi muhogo uuite muhoho na maji uyaite mma.
Ova
 
kama kwel, basi huo ndo uwajibikaji .
na wengne waige toka kwake ni uamuz wa busara .
 
SOON I WILL WRITE TO MISS WORLD, KUWA SHE LIED ABOUT HER AGE...na KAMATI YA MISS Tanzania, wanapata amri ya kudhibitisha umri wake sahihi....maana huu ni mchezo mchafu, bibi kabisa anachaguliwa Miss....wtf..!!
 
Mwizi kanaswaaa...sasa kilichobakia vyombo vya dola vifanye kazi yake...anatia aibu bibi bomba hafai huyo..
 
Back
Top Bottom