Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Inaonekana dada alijivua bt awa wasemaj wake wanataka funika kombe koz aku consult nao bt mwenywe alitaka kulivua
 
Taji alivishwa mbele ya umati ilibidi aitishe press conf. atangaxe kujivua, taji halivuliwi mitandaoni, mitandao ingekuwa kama next step au kueleza kusudio hilo.
 
Kama kweli kajivua basi ataje umri wake sahihi sasa. Na kama ana mtoto amwombe msamaha kwa kumkana.
Naunga mkono hoja...katoto kanaweza kushikwa na kitu kakafa kisa mama kamkataa na Mungu akamchukua. Yaelekea huyu Sitti anakiburi sana, nakumbuka alivyowakaripia waandishi wa habari mpaka basi

 
"Kwa mujibu wa chanzo changu cha karibu. Habari hizi ni za kweli 100%.... Huyu ni Sitti mwenyewe kaposti. Yes amelivua taji... Process haikutakiwa Kuwa Hivi. Kamati ya Miss TAnzania ilimwambia awaandie barua ya kukubali kuvua taji yeye kwa hasira akaenda kuposti facebook hiyo message..... Anyways, hata kama hajaomba msamaha Mie Naona tumsamehe Maana adhabu keshaipata na ataendelea kuipata kwa miaka mingi ijayo... Hii aibu atatembea nayo muda mrefu sana so ................. ili mradi taji limerudi naamini mshindi waE Pili atavishwa taji hilo some time next week ."

--- Toka kwa mdau instagram
 
haha.. ImageUploadedByJamiiForums1414276207.657395.jpg
 
Uhamiaji wanatakiwa kuchukua pass yao ya kusafiria maana u batili.. kitendo cha kuwa na vyeti viwili vya kuzaliwa tayari kimemtoa kwenye sifa ya kuwa na pasi.. Aliipata kwa kudanganya.. Lundenga na wewe uone aibu.. Nenda ukalime shamba lako hukoo hii mambo ya miss achia wengine..
 
Lundenga jamani huoni aibu??? mambo gani umefanya we mzee? hivi nje ya miss Tz huna shughuli nyingine???? mbona umewatia aibu wazee wa umri wako?
Enzi hizo za mababu hawakua na vyeti vya kuzaliwa lakini walikuepo watoto,vijana,wakubwa na wazee! unajua ni kwa nini???
Tafakari na uchukue hatua haraka
 
Sio kweli hii habari..

Maana ukianza kufatilia issue zina contradict...,
Mtu mwenyewe kauzu zaidi ya dagaa anaanzaje kuvua hilo taji
 
hivi sisi wa Tz tunaghushi mpaka urembo barabara shule hospitali si tutazibinua bati chini msingi juu tuone ni dawa na tufanye kazi bila shidaaa. uui tubadilikeni tuache maujanjaujanja ya kwingine hayafaii aibu zetu
 
Tujiulize Kwanini alitengeneza hicho cheti in the first place?

Inamaana alijijua kuwa yeye ni mshindi?
Hata kabla ya kushindana?

Damn lundenga upandishwe kizimbani hii ni dhulma na kuwanyang'anya fursa wanaostahili


Wadhamini msijitokeze kudhamini huyu mzee tapeli:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:lundenga na bibi yako
Hapa ndo naamini zile stori ati lundenga lazima amlundenguluwe kwanza huyu jamaa ni. Mharifu maana anatetea uharifu wa kughushi wa sitti bibi bomba na inaonekana wamekula njama
 
Ameandika ktk ukurasa wake wa facebook kuwa baada ya kuona anakosa amani kwa kufuatiliwa mno juu ya umri wake
Ameona isiwe tabu.maana maisha yake hayategemei taji hilo ameamua kuachia ngazi.
 
"Kwa mujibu wa chanzo changu cha karibu. Habari hizi ni za kweli 100%.... Huyu ni Sitti mwenyewe kaposti. Yes amelivua taji... Process haikutakiwa Kuwa Hivi. Kamati ya Miss TAnzania ilimwambia awaandie barua ya kukubali kuvua taji yeye kwa hasira akaenda kuposti facebook hiyo message..... Anyways, hata kama hajaomba msamaha Mie Naona tumsamehe Maana adhabu keshaipata na ataendelea kuipata kwa miaka mingi ijayo... Hii aibu atatembea nayo muda mrefu sana so ................. ili mradi taji limerudi naamini mshindi waE Pili atavishwa taji hilo some time next week ."

--- Toka kwa mdau instagram

Mkuu kughushi ni kosa la jina na kosa la jinai haliishi mpaka ufe ili kuonekana haki inatendeka ningependa kuona polisi wanachukua hatua dhidi ya huyu. " bibi bomba”sitti kama ambavyo ingefanyika kwa mtanzania yeyote ile ili tuuone na ile dhana ya usawa mbele ya sheria
 
Msipende kuingizwa mkenge na mitandao ya kijamii. Na msipende kila mkirushiwa jambo kwenye Whatsapp sijui mnawahi kuanzisha thread....

Ni ushauri tu......
 
Back
Top Bottom