Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Punga wewe! Umejiunga lini JF? Read between the lines! My msg was a lamenting kwa huyu anayejifanya sitti. Najua wanataka tuache kusaka ujinga wake ili apumue! Mkuu sikuwa na maana ingine falaa wewe!

we mwarab vp kinawasha au maana unatukana mtu akat yeye amekopi na kupest au ndo umekalia sisimiz sasa wameingia tundu dogo
 
Siti IQ yake ni ndogo mno kama babake Mtemvu huyu mzee alisomaga shule moja na mjomba angu anasema alikuaga mbumbumbu darasani hakua akielewa chochote a.k.a zuzu hihihiiiiii,uncle alishangaa sana aliporudi TZ maana anaishi nje, cku moja tunaangalia TBCCM anamuona Mtemvu eti mbunge wa Temeke,he.waz shocked xtremely shocked,akiniuliza mara kibao hv Tz kukoje?! Huyu nae zombi anawezaje kua mbunge eti msemaji na mwakilishi wa wananchi?! Ataongea nini huyu? Kama yupo humu huyo mzee au team yake bisheni basi nimwage ubuyu zaidi

Like father like son.
 
🐭🐭🐭🐭 Sitti, Dhitti, City, Shitti, bibi bomba, huendi mahali, wallaah hadi uvue taji hilo HADHARANI, USIPOVUA TUNAKUVUA UBAKIE UCHI...just wait, I WILL DO ALL I CAN TO TELL THE TRUTH TO MISS WORLD....tapeli sana ww...i hate haka bibi bomba...!!!
 
sio kweli



%%% Whatsoever....ATAVUA TU....nina zake, akafie mbele, anaitia serikali aibu kubwa sana....

HIVI HIII IDARA ya UHAMIAJI...kazi yake ni nn..!!? Kwann wamelala na wanachafuliwa..!!? BASATA WAKO KIMYA..!!!! RITA wamesema wanachunguza wakati wanajua ame foji....nyaraka ziko..

==> SITTI committed CRIMINAL ACT....!!! Lazima ashitakiwe na Jamhuri ya Tanzania....mwizi huyu..!!
 
Kuna habari zinasambaa kwenye mtandao wa FB kuwa miss wetu amejiuzulu. Ni kweli?
 
%%% whatsoever....atavua tu....nina zake, akafie mbele, anaitia serikali aibu kubwa sana....

Hivi hiii idara ya uhamiaji...kazi yake ni nn..!!? Kwann wamelala na wanachafuliwa..!!? Basata wako kimya..!!!! Rita wamesema wanachunguza wakati wanajua ame foji....nyaraka ziko..

==> sitti committed criminal act....!!! Lazima ashitakiwe na jamhuri ya tanzania....mwizi huyu..!!

utaishia kumvua demu wako kyupi tu.
 
Itabidi Lundenga arudishe hela alizo ongwa na Mtemvu dah what comes around goes around.
Kiendacho kwa mganga hakiludi , isitoshe pesa zenyewe Lundenga alilipia Deni kwa Yule Mhindi aliyekuwa kampeleka Mahakamani kuzuia Miss Tz isifanyike , Pesa imeliwa tayari huyo Binti Kama kweli kajivua Gamba la U-miss wa Rushwa itakula kwake.
 
Kupitia ukurasa wake wa facebook, mwandishi mwandamizi wa magazeti ya Global Publishers, Joseph Shaluwa ameandika

"
Hongera sana Sitti kwa kuvua taji! Kiukweli lilikuwa linakupwaya! Hongera kwa mara nyingine. Haya sasa Lungenda unasemaje? "


Nachukulia taarifa kutoka kwa Joseph Shaluwa kama taarifa sahihi kabisa kwa sababu ni mtu wa media kubwa inayo toa habari sahihi kuwa watu maarufu Tz.

Hongera Sitti Mtemvu
 
Huyo Lundenga na huyo binti wote ni viazi!

Manake mpaka sasa nashindwa kuamini kama wao waliamini wangeweza kuushawishi umma wa Watanzania na hicho kimkutano chao na waandishi wa habari.

Badala yake ndo wakazidi kujichoresha tu.

Wangekuwa wana akili wangeuchuna na pengine watu wangesahau manake Watanzania nasi kumbukumbu zetu huwa ni fupi sana.
Ni kweli kabsa Watanzania huwa ni Wepesi wa Kusahau sana mengi yameshasahaulika kwa kasi ,mfano Barozi wa Libya alijiua kisa wajanja walimdhulumu Mapesa mengi ya Marehemu Gadafi lakini Hakuna aliyewahi kujua Pesa za Gadafi zilienda wapi, wala kutaka kufahamu kisa za Barozi kuijua.
 
Kama kweli huyo Miss kaludisha Taji lake alilolipata Kimagumashi basi Lundenga Ludisha pesa za Wadhamini,pesa za Kiingilio na pesa zozote ulizopata kutokana na hii biashara yako ya U-miss, huyo Siti mpigie Ukuadi kwa WAKWARE(wapenda michepuko) upate Pesa urejeshe Viingilio vya watu kinyume na hapo Lundenga jiandae kwa lawama za kila Aina toka kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom