Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Tanzania hii hii ninayoijua mimi! Hakuna cha kifungo wala nini, subiri utaona
upepo tu huo utapita
Huyu bibi bomba afukuzie viti maalum kupitia ccm
Hata mimi nina wasiwasi huo Dr.........hawezi kuvua kirahisi hivyo.......kama kweli itakuwa burudani.........