Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

teh..teh..teh...?saf mama na magambaccm yangekua yanajivu hv..?bdo mwarabu wa yemen aliyepewa shavu na swahiba wake kutuwakirisha china
 
Shame on you....! Shame on Lundenga...! We call upon full investigation and those responsible held accountable
 
Watanzania tuna IQ ndogo kama nzi. Habari ya uongo hii. Watu mapovu kibao.
 
Kamalizana na kesi na wananchi kwa kuachia taji. Sasa bado kesi namba 2 ya kudanganya umri wake na kufoji cheti. Kifungo chake ni miaka 3 jela.

Tanzania hii hii ninayoijua mimi! Hakuna cha kifungo wala nini, subiri utaona
 
Hii habari sijaiamini....after all nina wasiwasi na hiyo account kama kweli ni ya Sitti.
 
Kama ni kweli Siti nitakupendaje!! Umeanza kunivutia sasa naona tunaelekea kuelewanq

Sema ni mkali kwa shape ile tuipendao mie na sheikh Kipozeo yaani Miss Bantu zile nyama mashalllah alizowajalia Allah. Wewe penda hao wa Kizungu. Ila mimi na Sheikh kipozeo tunapenda wale wenye nyama ukiona unapata raha. Picha ile niliyoonyeshwa hapa JF wakati bi Sitti yuko kwenye graduation ndo mke haswaa ambao ni shape safi tuipendao wengine.

Kama bi Sity uko humu ni pm tafadhali.
 
Huyo Lundenga na huyo binti wote ni viazi!

Manake mpaka sasa nashindwa kuamini kama wao waliamini wangeweza kuushawishi umma wa Watanzania na hicho kimkutano chao na waandishi wa habari.

Badala yake ndo wakazidi kujichoresha tu.

Wangekuwa wana akili wangeuchuna na pengine watu wangesahau manake Watanzania nasi kumbukumbu zetu huwa ni fupi sana.
Waliharibu kuja na cheti cha kuzaliwa kilichokuwa issued september,nani asiyejua uongo katika vyeti vya kuzaliwa Tanzania?yaani kama alitegemea kuja kugombea umiss kwa kucheat alitakiwa awe smart sana,mtu mwenyewe mwingi,ndo maana watu wanajua habari zake
 
Halafu juu ya hilo, alipoulizwa swali aelezee huo utofauti wa hizo nyaraka akasema eti hakuwa amejiandaa kuulizwa/ kujibu hilo swali!

Nadhani huyu Sitti atakuwa ndo Ms.Tanzania kiazi kuliko wote waliowahi kushikilia hilo taji.
Siti IQ yake ni ndogo mno kama babake Mtemvu huyu mzee alisomaga shule moja na mjomba angu anasema alikuaga mbumbumbu darasani hakua akielewa chochote a.k.a zuzu hihihiiiiii,uncle alishangaa sana aliporudi TZ maana anaishi nje, cku moja tunaangalia TBCCM anamuona Mtemvu eti mbunge wa Temeke,he.waz shocked xtremely shocked,akiniuliza mara kibao hv Tz kukoje?! Huyu nae zombi anawezaje kua mbunge eti msemaji na mwakilishi wa wananchi?! Ataongea nini huyu? Kama yupo humu huyo mzee au team yake bisheni basi nimwage ubuyu zaidi
 
vya zamani vikibaki hata asingeanika rita wangeweza kuvujisha pia,heri angebadili jina halafu akanwe na wazazi wake hadharani
Tatizo pia finger print zingemuumbua.Yaani hapa walilamba galasa,hata kama asipojivua taji,kule miss world watu watamchoma tu
 
Anyongwe kwa kulidanganya taifa na lundenga afungiwe mashindano haya maana huu ni uhuni 100% ingekuwa kwetu China hawa wangekuwa historia zamaniiiii
 
Huyu Sitti dharau dharau, ila sio mjanja wala hakuwa na akili za kujipanga kudanganya.

Sasa tumefurahia haswa karudisha taji la wa Tanzania.

Eti "ISIWE SHIDA SANA KWANI SITEGEMEI TAJI HILI KUISHI"

eeh umepatikana inaonyesha ulilitegemea sana kuishi sasa rudisha pesa za ushindi na acha kujidanganya tunajua pesa zimeenda bure za kuonga mlizitegemea mpate mara 1000 back kwa ufisadi.

Haya tulia ulale omba Mungu as na huko USA usije ukawa umeharibiwa na Polisi watakufungulia kesi.... Rudisha pesa usizile.

Tunasubiri na hili liwe onyo kwa wanaobeba jina la nchi yetu.

Sizitaki mbichi hizi kwani kilichomfanya alitake kimebadilika kipi hadi ajione hataki tena. Kama alikuwa anataka umaarufu kaupata. Maana wengi hatukumfahamu zaidi tumemfahamu kiundani baada ya kuwa muongo wa umri.
 
Tanzania hakuna kitu kisicho na mizengwe...soka, ajira, elimu, huduma, rushwa hadi umis.....Hahahaha
 
Yalishakosa mvuto zamaani nashangaa hao wanaotoa laki moja kwenda kutizama hayo makitu bora mngetoa msaada kwa yatima na wajane mkaongezewa dhawabu kwa Mungu.
yani uko sahihu ndugu ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom