Sitti mtemvu - Lost in Abroad

Sitti mtemvu - Lost in Abroad

kwa nini unasema hivyo??colour...manners ama ?

Cheki hapa

1414170412927.jpg
 
Sitti ni mkubwa hata hiyo miaka ya kwenye passport kaongopa, ana miaka zaidi ya 29, kazi anayo .
 
Mwaka huu nimeshuhudia Mabibi Bomba wawili
1. Bi Manfredi aliyepatikana kihalalali.
2. Siti Mtemvu
 
Sitti Mtemvu a.k.a Commedian like her father. Babake kama mbunge wa Temeke anayepokea hongo kiwanda cha bia cha Serengeti Breweries akifumbia macho uchafuzi wa mazingira wa maji ya kiwanda kwa wakazi wa jirani. Alifika pale kwa wakazi wa jirani ya kiwanda akawapa namba fake ya simu wakazi eti wawe wanampa update ya uharibifu. Like faza lika dota.
 
,,,,anadai ni upepo tu...yatapita

Hiki ni kimbunga atapita nacho hiki, na hivi anashinda na Patel! analo mwaka huu. Miss mwenyewe sura iko hivi leo mpaka mwakani novemba ndio atuwakilishe miss world atakuwaje? na stress azipatazo anajuuuta kutumika kwa faida ya baba ake.
 
Kumbe

Kiwanda kinatoa maji yananuka pale balaa


Sitti Mtemvu a.k.a Commedian like her father. Babake kama mbunge wa Temeke anayepokea hongo kiwanda cha bia cha Serengeti Breweries akifumbia macho uchafuzi wa mazingira wa maji ya kiwanda kwa wakazi wa jirani. Alifika pale kwa wakazi wa jirani ya kiwanda akawapa namba fake ya simu wakazi eti wawe wanampa update ya uharibifu. Like faza lika dota.
 
Hiki ni kimbunga atapita nacho hiki, na hivi anashinda na Patel! analo mwaka huu. Miss mwenyewe sura iko hivi leo mpaka mwakani novemba ndio atuwakilishe miss world atakuwaje? na stress azipatazo anajuuuta kutumika kwa faida ya baba ake.

Hiv kumbe miss world ni nov mwakani mkuu?
 
...hii kwangu habari mpya..sijui ninyi....
Tyta.Kwani habari hii mpya uliofukua itasaidiaje dispute iliyopo?Dispute iliyopo si kwamba Miss tanzania 2014 ni dumb ila kwamba alidanganya umri. Uvumbuzi wako unasaidia kuonesha kwamba huyu dada ni talented, kitu ambacho
sidhani kama kuna mtu anaki-question.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom