tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Familia y mtemvu imefunga mwaka kwa mafanikio makubwa.baba kwa kuuza watu wakawe watumwa arabuni mtoto kua miss tz mzee kupita wote kwenye karne hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkangafu breweries........sponsored by???
Tyta.Kwani habari hii mpya uliofukua itasaidiaje dispute iliyopo?Dispute iliyopo si kwamba Miss tanzania 2014 ni dumb ila kwamba alidanganya umri. Uvumbuzi wako unasaidia kuonesha kwamba huyu dada ni talented, kitu ambacho
sidhani kama kuna mtu anaki-question.
Kati ya pombekali za kienyeji hizo unashauriwa kufunga suruari chini afu ndo unautwika ili just incase ..... isiwe so. Ndugu zake TEKA WIMA and company....hiyo ndio watengenezaji wa ulanzi nini??
Hiv kumbe miss world ni nov mwakani mkuu?
Kaji bleach ukiangalia kwenye ile filamu na juzi mkorogo umemkubali