Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Namuonea huruma coz anataka kutumia inshu ya kuvuliwa taji kufanya mambo yake.
Ila hakuwa na haja yakufanya interview ikiwa maswali ya msingi kama umri wake hawezi kutaja.
Inshu= Ishu/ Issue.