Sitti Mtemvu yuko Live Nirvana EATV

Sitti Mtemvu yuko Live Nirvana EATV

Zaidi ya Ku bore na anavopenda umaarufu kwa nguvu sasa watu walisubiria kwa hamu sana. Bora alivuliwa tu hilo taji.

Hivi ulisikia vile Deo alivyokua anambembeleza ajibu? Eti darling si unajua nakupenda?
Yeah.....
Basi nakuomba ujibu maswali!
Mhhhhh, kunani hapo?
 
Hivi ulisikia vile Deo alivyokua anambembeleza ajibu? Eti darling si unajua nakupenda?
Yeah.....
Basi nakuomba ujibu maswali!
Mhhhhh, kunani hapo?

labda anamsimamia
 
hata hiyo foundation aliyoanzisha itakua kwa ajiri ya kuiba hela tu , sababu hakutakuwa na ukweli wwte kama kashindwa kutaja umri je akipewa pesa na wafadhiri atazifikisha kwa walengwa??
 
hata hiyo foundation aliyoanzisha itakua kwa ajiri ya kuiba hela tu , sababu hakutakuwa na ukweli wwte kama kashindwa kutaja umri je akipewa pesa na wafadhiri atazifikisha kwa walengwa??

siku ile pale anasema taji karudisha akaulizwa zawadi nayo umerudisha?akajibu hawajaniambia nirudishe akaulizwa tena mbona taji hawakukwambia urudishe ukarudisha na hela si ungerudisha pia anabaki kubwela anajidanganya tu huyu kajichafua tayari hasafishiki hata kwa jiki bora angekaa kinywaaa tu
 
Back
Top Bottom