Siuku hizi Rais wetu amekuwa na sura ya ukali sana!

Siuku hizi Rais wetu amekuwa na sura ya ukali sana!

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Bahati mbaya nimeshindwa kuziweka picha zake hapa. Lakini nimechunguza tangu Ndugai amkorofishw hacheki cheki tena na amevaa sura ya ukali. Ningeshauri asiwe hivyo tunataka awe na sura ya ucheshi angalau! Kuongoza kupo hiyo hata usiotegemea wakudissapoint inaweza ikatokea wakakufanyia hivyo so ni muhimu kumaintain furaha. Ndugai na genge lake Sukuma Gang kitu gani bhana? Just relax my President! Sura yako ya furaha kama ya kwenye Kalenda zako tunaitaka!
 
Sura ya ukali ndio ikoje?..anyway yeye ni raisi mwenye jinsia ya kike ukipenda muite chui jike..yupo mawindoni hakuna kucheka na nyani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavi ongozi yetu bhana,yanajiwazia yenyew tu
 
Bahati mbaya nimeshindwa kuziweka picha zake hapa. Lakini nimechunguza tangu Ndugai amkorofishw hacheki cheki tena na amevaa sura ya ukali. Ningeshauri asiwe hivyo tunataka awe na sura ya ucheshi angalau! Kuongoza kupo hiyo hata usiotegemea wakudissapoint inaweza ikatokea wakakufanyia hivyo so ni muhimu kumaintain furaha. Ndugai na genge lake Sukuma Gang kitu gani bhana? Just relax my President! Sura yako ya furaha kama ya kwenye Kalenda zako tunaitaka!
Mwache mama awe mkali bhana hapo bado kula mabanzi tu ya kichwa na mgongoni kwa sisi wa uswazi take away tunaelewa alaf jobo nae alitaka kuzoea kiti wakati wenzake waliomtangulia walikaa miaka 5 mitano tu yeye anataka kukaa miaka kumi who which to whom is he
 
Mwache mama awe mkali bhana hapo bado kula mabanzi tu ya kichwa na mgongoni kwa sisi wa uswazi take away tunaelewa alaf jobo nae alitaka kuzoea kiti wakati wenzake waliomtangulia walikaa miaka 5 mitano tu yeye anataka kukaa miaka kumi who which to whom is he
Ati bhana!
 
Si bora yeye kabadilisha sura tu, ila msukuma alibadilika mpaka watu wanatoa bastola hadharani bila shida.
 
Back
Top Bottom