Siungi mkono Serikali kuwatafutia maeneo wamachinga. Hawa ni wahalifu walipaswa kuchukuliwa hatua

Siungi mkono Serikali kuwatafutia maeneo wamachinga. Hawa ni wahalifu walipaswa kuchukuliwa hatua

We umesema wafurushwe bila huruma.. sio jambo zuri.. nao wana haki kwenye hii nchi.

Ni kweli hawakufanya shughuli zao kwa utaratibu ila sababu haswa ni hao hao serikali kukosa mipango ya mapema.

Kwahiyo sioni haja ya kuanza kuwaumiza hawa machinga
Soma vizuri uepewe hoja yake

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.


Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.

Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa

Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??

N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.


NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Ni kweli umejenga hoja yako vyema. Lakini hebu rujiulize swali moja kubwa Kati ya machinga, na wale waliovamia hifadhi kujenga ama kufuga ama kulima kundi gani ni kubwa zaidi?

Tuanze hapo Kwan za
 
Hoja gani ya kishetani hii, yet unataka tukujibu kwahoja Ili na si utuingeze kwenye list ya ushetani wako
 
Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.


Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.

Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa

Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??

N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.


NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Duh; mkuu naona kuna ukweli ndani yake
 
Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.


Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.

Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa

Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??

N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.


NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Sawa Mr roho MBAYA
 
Ni kweli umejenga hoja yako vyema. Lakini hebu rujiulize swali moja kubwa Kati ya machinga, na wale waliovamia hifadhi kujenga ama kufuga ama kulima kundi gani ni kubwa zaidi?

Tuanze hapo Kwan za
Wafugajina wakulima ni wengi Sana mkuu ((~80%). Wafugaji kwa miaka can mingi wameporwa mifugo yao. Kuna mwaka waliambiwa wahamie mikoa mingine wakapoteza Sana mifugo yao
 
Issue ya Machinga inahitaji utafiti kutoka kwa wabobevu sijui wanazuoni wamefikia hatua gani?
Idadi ya Machinga inaongezeka kila siku lazima kuwe na mpango madhubuti lazima watungiwe Sheria.

Ili nchi iendelee inatakiwa kuongeza uzalishaji ili tuweze kuuza nje je,machinga wanazalisha au wanakuza biashara za wazalishaji toka nje ya nchi?

Kwani ni mikoa mingapi yenye matatizo ya Machinga?

Sababu ya Machinga kufanyabiashara kwenye maeneo yasiyo rasmi ni ipi?
 
Yupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.

Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?

Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Naunga mkono hawa ni waharibifu tuu hakuna namna nyingine ya kuwapa kichwa
 
Yupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.

Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?

Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Huyu amekazia tu huu ukweli
 
Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.


Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.

Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa

Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??

N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.


NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Nimefwatilia huu Uzi hakuna aliyeweza kukujibu Hadi sasa. Hebu tuendelee kungoja huenda atajitokeza
 
Acha roho mbaya.. Sasa unataka wakale wapi?

Binadamu kusaidiana.. usifurahie anguko la mwenzako. We unadhani hao machinga wasipo settle, utaishi kwa raha?
Na mvuvi haramu nae akale wapi mnapo mnyang'anya nyavu zake?
 
Back
Top Bottom