nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Soma vizuri uepewe hoja yakeWe umesema wafurushwe bila huruma.. sio jambo zuri.. nao wana haki kwenye hii nchi.
Ni kweli hawakufanya shughuli zao kwa utaratibu ila sababu haswa ni hao hao serikali kukosa mipango ya mapema.
Kwahiyo sioni haja ya kuanza kuwaumiza hawa machinga
Mpaka wakamatwe na kuwakamata siyo rahisi.Serikali ina mkono mrefu watadhibitiwa tu au ?
Nimemsoma nimemuelewa na mimi ndo maoni yangu
Suala la wamachinga ni mwendekezo wa siasa chafu za ccm.Hakuna aliye salama.
Ni kweli umejenga hoja yako vyema. Lakini hebu rujiulize swali moja kubwa Kati ya machinga, na wale waliovamia hifadhi kujenga ama kufuga ama kulima kundi gani ni kubwa zaidi?Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Hiki ni kizazi cha "social media" siyo Great thinkers, inawezekanaje kumshambulia mtu personally badala ya hoja? Mjisahihishe sana hiki kizazi cha siasa za maji takaMachinga wanakutafunia mke itakua
Duh; mkuu naona kuna ukweli ndani yakeKwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Sawa Mr roho MBAYAKwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Wafugajina wakulima ni wengi Sana mkuu ((~80%). Wafugaji kwa miaka can mingi wameporwa mifugo yao. Kuna mwaka waliambiwa wahamie mikoa mingine wakapoteza Sana mifugo yaoNi kweli umejenga hoja yako vyema. Lakini hebu rujiulize swali moja kubwa Kati ya machinga, na wale waliovamia hifadhi kujenga ama kufuga ama kulima kundi gani ni kubwa zaidi?
Tuanze hapo Kwan za
Naunga mkono hawa ni waharibifu tuu hakuna namna nyingine ya kuwapa kichwaYupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.
Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?
Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Unadhan kuchoma, ni rahisi namna hiyo ?Wachukulie hatua halafu uone jinsi watakavyoanza kuchoma moto maduka ya watu Kariakoo na kuwatia watu hasara.
Kabisa mkuu. Hawa wahalifu tunawapa kichwa. Mbona makundi mengine yanaadhibiwa??Naunga mkono hawa ni waharibifu tuu hakuna namna nyingine ya kuwapa kichwa
Huna hoja tuliaAcha roho mbaya.. Sasa unataka wakale wapi?
Binadamu kusaidiana.. usifurahie anguko la mwenzako. We unadhani hao machinga wasipo settle, utaishi kwa raha?
Huyu amekazia tu huu ukweliYupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.
Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?
Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Nimefwatilia huu Uzi hakuna aliyeweza kukujibu Hadi sasa. Hebu tuendelee kungoja huenda atajitokezaKwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Na mvuvi haramu nae akale wapi mnapo mnyang'anya nyavu zake?Acha roho mbaya.. Sasa unataka wakale wapi?
Binadamu kusaidiana.. usifurahie anguko la mwenzako. We unadhani hao machinga wasipo settle, utaishi kwa raha?
Soko la kariakoo mbona wamelichoma? Watu wakiamua tuu wanaweza.Unadhan kuchoma, ni rahisi namna hiyo ?