NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Jibu zuri sana hili mkuu. Wavuvi walilia sana kwa kunyang'anywa mitumbwi na nyavu zao kipindi Luhaga Mpina akiwa waziri. Hatukuona hatua za kuwapatia mitumbwi na nyavuNa mvuvi haramu nae akale wapi mnapo mnyang'anya nyavu zake?
Wafugaji wanaofukuzwa kila mahala nchi hii nao wanalipa Kodi. Wavuvi wanaochomewa nyavu zao pia wanalipa Kodi.SERIKALI ILIWAHURUSU kufanya shughuli zao katika maeneo hayo. KITAMBULISHO CHA MACHINGA umekisahau? Kwenye flyover unayopanda pamoja kodi zako usisahau humo kuna jasho la 20,000/ za hao unawaita waharifu.
Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maene
Kazi kwelikweli!! Ila fahamu aliyewanyima machinga, ni huyohuyo aliyekupa wewe! Hakuna anayependa shida ni maisha tu haya, unatakiwa ukue mkuu,!Na mvuvi haramu nae akale wapi mnapo mnyang'anya nyavu zake?
Hii nchi tuna ardhi kubwa sana, tena yenye rutuba, pia tuna mito na Maziwa mengi, waende wakalime kwani ukitaka utajiri utaupata shambani.Acha roho mbaya.. Sasa unataka wakale wapi?
Binadamu kusaidiana.. usifurahie anguko la mwenzako. We unadhani hao machinga wasipo settle, utaishi kwa raha?
SIKU ZOTE ASHIBAYE HAMJUWI MWENYE NJAA.Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Tunaweka wazee wa mabaka (JW) wawe wanafanya jogging mitaa ya Kariakoo na mingine kwa miezi mitatu tuone kama watachoma...Wachukulie hatua halafu uone jinsi watakavyoanza kuchoma moto maduka ya watu Kariakoo na kuwatia watu hasara.
Serikali haiwezi kupambana na wamachinga kwakutumia nguvuSerikali ina mkono mrefu watadhibitiwa tu au ?
Mbona maeneo ni mengi tu wahamieWafugajina wakulima ni wengi Sana mkuu ((~80%). Wafugaji kwa miaka can mingi wameporwa mifugo yao. Kuna mwaka waliambiwa wahamie mikoa mingine wakapoteza Sana mifugo yao
Sasa kwann wamachinga wao wanabembelezwa? Maeneo ya wao kuhamia mbona mengi tu?Mbona maeneo ni mengi tu wahamie
Naunga mkono kuwa wasitafutiwe maeneo, hao ni wahalifu na wavunjaji sheria. Mheshimiwa rais usiwabembeleleze, hii nchi siyo ya wamachinga peke yao. Wapo watu wengi tu wenye adabu na nidhamu. Wamachinga hawafai, ni wahuni na wachuuzi tu, haiwezekani tuwe Taifa la wachuuzi. Waondoshwe kwa nguvu hao wabakaji, wezi na wauaji.Kwanni serikali imeamua kubeba mzigo wa kuwatafutia maeneo wamachinga? Hawa wanaojiita wamachinga ni wahalifu maana wamekiuka Sheria na taratibu mbalimbali za nchi kwa kuamua kujenga mabanda barabarani ama kupanga bidhaa mbele ya maduka ya wafanyabiashara.
Nilitegemea watu hawa, mmoja mmoja ama kwa umoja wao wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ama kwa kuhurumiwa wafurushwe bila huruma kutoka ktk maeneo hayo haramu halafu wao wenyewe watafute mahala sahihi pa kwenda.
Kama serikali inaona ni sahihi kuwatafutia wahalifu (wamachinga) maeneo mbadala, basi ifanye hivyo pia ktk makundi mengine ya wahalifu kama ifuatavyo:-
1. Waliovamia na kujenga kwenye hifadhi ya barabara, open spaces na taasisi za serikali wapewe viwanja.
2. Wafugaji wanaochungia maeneo ya hifadhi wahamishiwe maeneo yenye malisho.
3. Iwajengee nyumba ombaomba wote nchi nzima.
4. Wapiga debe wote wanunuliwe mabasi na serikali.
5. Wavuvi wanaotumia nyavu haramu (makokoro) serikali iwapatie nyavu halali. Siyo kama ilivyo sasa amabapo wavuvi huchomewa nyavu zao na kuachwa masikini kabisa
Watu wote ktk makundi yote haya wamekiuka Sheria na taratibu ndiyo maana huwa wanatiwa nguvuni wakikamatwa. Iweje hawa wahalifu (wamachinga) ambao wamevunja Sheria za nchi machana kweupe wananyenyekewa??
N.B. Wamachinga waondolewe kwa nguvu maeneo yasiyoruhusiwa. Wasibembelezwe.
NIMEJENGA HOJA, NAOMBA NIJIBIWE KWA HOJA. NISIBEZWE.
Mapato ya serikali yanakosekana dhidi ya wakwepa kodi wakubwa na wenye mamlaka kukosa weledi na uaminifu dhidi ya viapo vyaoYupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.
Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?
Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Huyu mzee hakika alikuwa mwamba na hatatoka akikini mwenu nyie gaysYupo sahihi machinga walitakiwa kabla ya kuamishwa wapitiwe mmojammoja biashara mitaji yao isngaliwe. Wameikosesha serikali mapato kwa mda mrefu.
Wengi walishakuwa na mitaji mikubwa. Mtu anauza soda,juisi na maji ya jumla banda lipo juu ya mitaro. Vipodozi,mitungi ya gesi,wengine walikuwa wanauza mpaka simu je ni kweli walikuwa machinga hawa?
Kuhusu ishu ya kutafutiwa maeneo vipi sisi wakulima na wavuvi ns makundi mengine nani alitutafutia? Haya ndo matokeo ya siasa za kupenda sifa za mwendazake.
Unaongelea mzee yupi mkuu?Huyu mzee hakika alikuwa mwamba na hatatoka akikini mwenu nyie gays