bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Nikiwa kama mdau wa mpira sijapendezwa na kitendo kilichofanywa na wachezaji wa YANGA kwa kumgomea kocha Mazoezi kwa sababu za kutolipwa mshahara wao karibia siku 20.
Kocha sio mwajiri wao mwajiri wao ni club Ya Yanga hivyo sikuona sababu za kumgomea kocha na pale kuna Kaptaini,Msaidizi wa kaptaini sidhani kama walishindwa kuzungumza na uongozi juu la suala hilo.
Sikatai siku izi Pesa kwanza uzalendo baadaye ila wangezingatia itifaki kabla ya kuchukua jukumu la kugoma.
Kama mchezaji labda aligoma kwa Ajili ya mshahara wa Milioni 10 mfano ndo ijumaa Yanga angekua anacheza na Simba akaja mtu akampa millioni 30 ili Auze au acheze chini ya kiwango sidhani kama angekataa.
Hapa ndo napata Picha kwanini Sir ALEX FERGUSON aliwauza wachezaji wakiwa kwenye fomu yao kama Vile David Beckam,Jaap Staam..nk yule mzee alikua mfuasi sana wa Nidhamu katika timu.
Mgomo ni Hatua za mwisho mwisho kabisa endapo njia zote za kutafuta muafaka zimegoma.
Wachezaji wa Yanga na Tanzania kwa ujumla bado mnasafari ndefu sana kaeni na viongozi wenu mtatue matatizo yenu kwa njia ya maridhiano.
Ni hayo tu.
Kocha sio mwajiri wao mwajiri wao ni club Ya Yanga hivyo sikuona sababu za kumgomea kocha na pale kuna Kaptaini,Msaidizi wa kaptaini sidhani kama walishindwa kuzungumza na uongozi juu la suala hilo.
Sikatai siku izi Pesa kwanza uzalendo baadaye ila wangezingatia itifaki kabla ya kuchukua jukumu la kugoma.
Kama mchezaji labda aligoma kwa Ajili ya mshahara wa Milioni 10 mfano ndo ijumaa Yanga angekua anacheza na Simba akaja mtu akampa millioni 30 ili Auze au acheze chini ya kiwango sidhani kama angekataa.
Hapa ndo napata Picha kwanini Sir ALEX FERGUSON aliwauza wachezaji wakiwa kwenye fomu yao kama Vile David Beckam,Jaap Staam..nk yule mzee alikua mfuasi sana wa Nidhamu katika timu.
Mgomo ni Hatua za mwisho mwisho kabisa endapo njia zote za kutafuta muafaka zimegoma.
Wachezaji wa Yanga na Tanzania kwa ujumla bado mnasafari ndefu sana kaeni na viongozi wenu mtatue matatizo yenu kwa njia ya maridhiano.
Ni hayo tu.