Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

Screenshot_20210601-094552.jpg
 
Jifunze kutofautisha Kati ya Chama na wafuasi wa chama

Wanafanya huo ujinga chini ya kivuli cha Chama , viongozi wakikaa kimya wanabariki huo upuuz na ni udharirishaj wa chama cha CHADEMA ipo siku watoto wenu watakuja kuhadithiwa huu upuuz @ worse tz generation ever
 
Haya mambo ya TV/Radio. These are petty issues. Kuna vutu FUNDAMENTAL. Huyu alikiuka fundamental obligation ya kupinga udhalimu wa CCM. Alishirikiana na watesi, wauaji, wabakaji, watekaji, wauaji, wabambkia kesi etc etc. Hivyo Nasibu apingwe kwa kila hali. Wanachokifanya uliowataja, wako sahihi kabisa.

NOTE: CDM haihusiki na hilo. Hakuna kauli ya CDM kuhusu hilo. Do not speculate

Kwenye hayo yote uliyoishutumu chama Baba unaushaidi wowote au ndo unataka uchukuliwe hatua useme umeonewa
 
RR tangia 2014 bado haijafika tu bongo.. 😀 😀
Sasa Leo insta wamepost clip wapo huko yard wanakagua RR ya kununua, comments za watu sasa mie mbavu sina mweeeeh.
Kweli watu wamevurugwa wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Leo insta wamepost clip wapo huko yard wanakagua RR ya kununua, comments za watu sasa mie mbavu sina mweeeeh.
Kweli watu wamevurugwa wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unawafatilia hivyo, Anaeteseka ni Nani? ahahahahaha
 
Yes nimekaa pembeni ndiomana nikasema apambane. Unakichwa cha kuku huelewi jambo dogo hivi?.
Kitendo cha kuandika bado ujakaa pembeni, kukaa pembeni ni kupita kimya kimya, bila kuchangia chochote
 
Kitendo cha kuandika bado ujakaa pembeni, kukaa pembeni ni kupita kimya kimya, bila kuchangia chochote
Jifunze kwanza kuandika bwana mdogo. Halafu usipangie watu cha kufanya nadhani utakuwa umeelewa.
 
Yes nimekaa pembeni ndiomana nikasema apambane. Unakichwa cha kuku huelewi jambo dogo hivi?.
Kitendo cha kuandika bado ujakaa pembeni, kukaa pembeni ni kupita kimya kimya, bila kuchangia chochote
Jifunze kwanza kuandika bwana mdogo. Halafu usipangie watu cha kufanya nadhani utakuwa umeelewa.
Unaonekana unaandika usicho kijua, labda ukae kwenye pembe ya nyumba, lakini sio pembeni
 
Mm c mshbiki wa siasa lakini naona Kama wote ambao ni watanzania wanampinga mondi Kwanza kikubwa nichuki binfsi na inaonuesua ni jinsi gan nchi hii ina wachawi wengi .. pia Kuna watu ambao ni wafata mkumb ukiaangalia kiba, Dimond , mmakonde wot n ccm ila happy huyo choko kigogo nae anajishushia heshim hat kwa waliokua upand wake we call it zero brain.. [emoji146]Simba bb lao

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom