Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndioo. Tuko Gazza[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]
Hapa ni JF hakuna hoja ya mabavu maana hakuna dola humu , hapa ni hoja yenye mashiko, Kwahiyo ukileta janja ya mahaba yako kufanya ni hoja yenye mashiko lazima utapike tuuuPenye hoja ya nguvu (dola/mabavu) upande wa kwanza, weka mahaba upande wa pili. Inaitwa kulipa ubaya kwa wema!
Yaani BET waweke tuzo halafu wewe mtu wa kigogo useme haina tija?ahahaha nchi hii ina vituko sana ,kama ni rahisi anzisha yako halafu andika BET uone nani atakuja huko kwako kuchukuaVanboy wako alichukua ipi hiyo? Ile isiyokua na tija lolote? [emoji23][emoji23][emoji23] walllah hivi vichekesho mweeeeh.
Tena anzia kampeni za 2010 alikuwa anashiriki.Diamond toka zamani yuko ccm!
Kama ndio hivyo angekuwa ameshashuka zamani
[emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh hatareeh sana.Halafu huyu wizkid ni mwafrica mwenzetu sa si bora tumsapoti huyu akatuwakilishe kibara mazee?
Huyu burnaboy Domokaya bado sijawanyaka fresh, ila sio mbaya nina device 5 kura 3 zitaenda kwa wizkid halafu hizo mbili nazi supply kwa hao wawili.
[emoji23][emoji23][emoji23] unateseka kweli yaan lol.Haya madogo sana , yalishapita makubwa hawezi kuyumba kwa kushindwa na Burna boy, maana nae ni msanii mkubwa, labda angeshindwa na Kiba lingekuwa tatizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili yako ndogo sana. Sometimes panua akili yako iwe kubwa kama mdomo wa boss wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na RR ya kuchora. Wakati kina Davido wanapigia misele Abuja, lolAshinde asishinde atajijua yeye na familia yake ila akale alipoleka mboga,wewe na nzi wa kijani wenzako mpigieni kura kuanzia 7 June 2021,sisi tunaenda na BUNABOI.
Ndio kwanza Forbes imeweka historia ya kuwa na Bilionea anyeishi nyumba ya KUPANGA..... 😀 😀 😀 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatari tupu lolNdio ndioo. Tuko Gazza[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]
Atakuja zuchu na lava lava [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani BET waweke tuzo halafu wewe mtu wa kigogo useme haina tija?ahahaha nchi hii ina vituko sana ,kama ni rahisi anzisha yako halafu andika BET uone nani atakuja huko kwako kuchukua
Iyo sio sababu anachukiwa sababu Ana maneno na kauli chafu dhidi ya wenzake .aache Kwanza chuki yeye ndo watu wataacha kumchukia.pitia interview zake utagundua kwanini watu wanamchukia awe humble Aya maisha tu.walikuwepo akina Michael Jackson mtu was pili kwa umaarufu baada ya Jesus Christ yuko wapi leo?Watu wanachuki na mafanikio ya diamond maana wasanii wote walifanya show kwenye kampeni za ccm ila diamond anachukiwa sababu ya kufanikiwa sana kuliko mtz yeyote kwenye mziki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na RR ya kuchora. Wakati kina Davido wanapigia misele Abuja, lol
Nani kasema nimelazimishwa? Huo muda wa kumpigia mtu kura sina.Kwani umelazimishwa kumpigia? kama hutaki mpigie umtakae, ila Diamond kampeni hawezi kuacha kupiga kisa nyumbu wananuna
Mbona wizkidayo aligoma?HV kweli. Mondi akataee dili la billion mbili kisa cdm mbna cdm hawaeleweki wameingiza siasa Tena
Kazi ya CHADEMA ni kujihusisha na siasa au miziki ya kimataifa? Au siasa zinaingiaje kwenye muziki ?Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
[emoji23][emoji23][emoji23] unateseka kweli yaan lol.
Anaeteseka ni kigogo, siasa imemshinda sasa anaangaika na BET, mimi natwanga hoja dhaifu[emoji23][emoji23][emoji23] unateseka kweli yaan lol.