Kwangu mimi sio lugha ila yule kocha waliomleta ambaye alifukuzwa timu fulani ambayo hakuifikisha kokote zaidi kupigwa tu kila kona.Hivi unachaguaji kocha ambae mawasiliano na wachezaji unakua mgumu?
Kocha anajua kuzungumza kiarabu na kifaransa tu, wakati wachezaji wako wanaelewa Kiswahili, English(kama wapo) na wachache wanaongea kifaransa, vipi hapa wataelewana vizuri kupitia wakalimani ambao nao ni wachezaji?
Hivi kweli waliwaza vyema katika hili?
Wakipata matokeo mabovu wataanza kutafuta wa kymlaumu.
Yule mbrazil alikuwa anazungumza pia kiingereza kiasi cha kueleweka..Yule kocha wetu wa timu ya Taifa Mbrazil mbona alikuwa anazungumza kireno. Wakati wachezaji wetu wanazungumza Kiswahili/English
Timu ilikuwa inafanya vizuri
Punguza wenge Na ushabiki
Sehemu kubwa ya wachezaji wa simba wanaweza kuongea kiingereza, siyo kama utopolo!Ha gomez wa simba hajui kiswahili
wewe hujui unachoongea, kwa hiyo Ancelotti ni kocha mbaya kwa kuwa yupo EvertonNdiyo maana anabaki kuwa kocha wa timu kama Leeds (midtable teams).
wewe hujui unachoongea, kwa hiyo Ancelotti ni kocha mbaya kwa kuwa yupo Everton
Miongoni mwa sifa za kocha kufundisha EPL ni lazima ajue kiingerezaYule mzee wa Leeds united kingereza hakipandi na timu inacheza vizuri tu, Wabongo acheni ujuha
Miongoni mwa sifa za kocha kufundisha EPL ni lazima ajue kiingereza