Siwaelewi Yanga katika uchaguaji wa kocha

Siwaelewi Yanga katika uchaguaji wa kocha

Hivi unachaguaji kocha ambae mawasiliano na wachezaji unakua mgumu?

Kocha anajua kuzungumza kiarabu na kifaransa tu, wakati wachezaji wako wanaelewa Kiswahili, English(kama wapo) na wachache wanaongea kifaransa, vipi hapa wataelewana vizuri kupitia wakalimani ambao nao ni wachezaji?

Hivi kweli waliwaza vyema katika hili?

Wakipata matokeo mabovu wataanza kutafuta wa kymlaumu.
Kwangu mimi sio lugha ila yule kocha waliomleta ambaye alifukuzwa timu fulani ambayo hakuifikisha kokote zaidi kupigwa tu kila kona.
 
Yule kocha wetu wa timu ya Taifa Mbrazil mbona alikuwa anazungumza kireno. Wakati wachezaji wetu wanazungumza Kiswahili/English
Timu ilikuwa inafanya vizuri
Punguza wenge Na ushabiki
Yule mbrazil alikuwa anazungumza pia kiingereza kiasi cha kueleweka..
 
Washapigana huko.
Wachezaji hawaelewani na kocha.

Lugha gongana.
 
IMG-20210516-WA0034.jpg
 
Back
Top Bottom