Uchaguzi 2020 Siwafundishi kazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi ila mkilifanya hili mtaondoa lawama nyingi

Uchaguzi 2020 Siwafundishi kazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi ila mkilifanya hili mtaondoa lawama nyingi

TOHATO

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
1,336
Reaction score
4,653
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana.

Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika kuchukuliwa fomu zao kwa watu wasiojulikana.

Kwa upande wangu naona ni makosa makubwa hasa kwa wakurugezi wanaogawa hizo fomu kwa kuamini kila mtu anae fika na kujitambulisha yeye ni Mgombea kupitia chama flani kisha kumpatia fomu bila kuhakikisha ni muhusika halali.

Huwa najiuliza hivi Vitambulisho vya taifa tulihimizwa kwajili ya usajili wa namba za simu tuu au twaeza kutumia kwenye maswala muhimu kama haya ya utambuzi ?

Swala la muhusika halali linaeza kutambuliwa kwa njia ya kutumia kitambulisho cha Taifa au namba ya Nida ya muhusika kuendana na barua ya chama kwa wateuliwa wao.

Kuchukua namba yasimu pekee na kutaja jina lake kwa mdomo iwe ni ziada baada ya kuhakiki kwa njia ya kitambulisho cha taifa .

Nikiamini Hakuna mgombea hana namba ya simu hivyo lazima atakuwa amesajili namba yake ya simu kupitia namba ya Nida au kitambulisho cha Taifa hivyo hivyo Lazima awe na kitambulisho cha Taifa.
 
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana.

Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika kuchukuliwa fomu zao kwa watu wasiojulikana.

Kwa upande wangu naona ni makosa makubwa hasa kwa wakurugezi wanaogawa hizo fomu kwa kuamini kila mtu anae fika na kujitambulisha yeye ni Mgombea kupitia chama flani kisha kumpatia fomu bila kuhakikisha ni muhusika halali.

Huwa najiuliza hivi Vitambulisho vya taifa tulihimizwa kwajili ya usajili wa namba za simu tuu au twaeza kutumia kwenye maswala muhimu kama haya ya utambuzi ?

Swala la muhusika halali linaeza kutambuliwa kwa njia ya kutumia kitambulisho cha Taifa au namba ya Nida ya muhusika kuendana na barua ya chama kwa wateuliwa wao.

Kuchukua namba yasimu pekee na kutaja jina lake kwa mdomo iwe ni ziada baada ya kuhakiki kwa njia ya kitambulisho cha taifa .

Nikiamini Hakuna mgombea hana namba ya simu hivyo lazima atakuwa amesajili namba yake ya simu kupitia namba ya Nida au kitambulisho cha Taifa hivyo hivyo Lazima awe na kitambulisho cha Taifa.

Unaiamini tume vipi wakati wapiga kura imesema ni 29m+. Tanzania ina wananchi wanaokaribia 60m+, je ni kweli nusu yao wana miaka 18+? Kama ni hivyo ina maana kila watanzania wawili mmoja kajuandikisha kupiga kura. Je hilo linawezekana?
 
Hahaha tume ilihakikisha daftari limejaa wana ccm tu. Lakini kura tutapiga kwanza wawapitishe wagombea, hilo tuta deal nalo tu.

Hakuna sheria ya kujiandikisha kwenye daftari, ndio uruhusiwe kupiga kura, katiba haisemi hivyo.

Katiba inasema kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 anaruhusuwa kupiga kura, hayo nadaftari ni yao ccm.
 
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana.

Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika kuchukuliwa fomu zao kwa watu wasiojulikana.

Kwa upande wangu naona ni makosa makubwa hasa kwa wakurugezi wanaogawa hizo fomu kwa kuamini kila mtu anae fika na kujitambulisha yeye ni Mgombea kupitia chama flani kisha kumpatia fomu bila kuhakikisha ni muhusika halali.

Huwa najiuliza hivi Vitambulisho vya taifa tulihimizwa kwajili ya usajili wa namba za simu tuu au twaeza kutumia kwenye maswala muhimu kama haya ya utambuzi ?

Swala la muhusika halali linaeza kutambuliwa kwa njia ya kutumia kitambulisho cha Taifa au namba ya Nida ya muhusika kuendana na barua ya chama kwa wateuliwa wao.

Kuchukua namba yasimu pekee na kutaja jina lake kwa mdomo iwe ni ziada baada ya kuhakiki kwa njia ya kitambulisho cha taifa .

Nikiamini Hakuna mgombea hana namba ya simu hivyo lazima atakuwa amesajili namba yake ya simu kupitia namba ya Nida au kitambulisho cha Taifa hivyo hivyo Lazima awe na kitambulisho cha Taifa.

Kuna muda mwingine huwa ninawashangaa Watanzania na Elimu hadi na Akili zenu. Nani asiyejua kuwa CCM = NEC na NEC = CCM? Msituchoshe!
 
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana.

Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika kuchukuliwa fomu zao kwa watu wasiojulikana.

Kwa upande wangu naona ni makosa makubwa hasa kwa wakurugezi wanaogawa hizo fomu kwa kuamini kila mtu anae fika na kujitambulisha yeye ni Mgombea kupitia chama flani kisha kumpatia fomu bila kuhakikisha ni muhusika halali.

Huwa najiuliza hivi Vitambulisho vya taifa tulihimizwa kwajili ya usajili wa namba za simu tuu au twaeza kutumia kwenye maswala muhimu kama haya ya utambuzi ?

Swala la muhusika halali linaeza kutambuliwa kwa njia ya kutumia kitambulisho cha Taifa au namba ya Nida ya muhusika kuendana na barua ya chama kwa wateuliwa wao.

Kuchukua namba yasimu pekee na kutaja jina lake kwa mdomo iwe ni ziada baada ya kuhakiki kwa njia ya kitambulisho cha taifa .

Nikiamini Hakuna mgombea hana namba ya simu hivyo lazima atakuwa amesajili namba yake ya simu kupitia namba ya Nida au kitambulisho cha Taifa hivyo hivyo Lazima awe na kitambulisho cha Taifa.
Wewe unaamini kwamba hao majuha wanaowapa fomu wasiostahili, wanafanya hivyo kwa bahati mbaya?

CCM wamekuwa wakitumia hiyo mbinu kwa kuwatumia wakurugenzi wa wilaya kwa miaka mingi ili kutafuta uwezekano wa kupita bila kupingwa. Huwa ni syndicate, na haitokei kwa bahati mbaya.

Mwaka 2010, marehemu Deo Filikunjombe, jimbo la Ludewa alitumia hiyo mbinu kwa kushirikiana na mkurugenzi na DC. Mgombea wa CHADEMA ndugu Mtitu akanyimwa fomu kwa kigezo kuwa mgombea wa CHADEMA amekwishachukua fomu. Kisha yule mgombea mamluki hakurudisha fomu, na mkurugenzi wa wilaya akamtangaza haraka Deo Filikunjombe kuwa alikuwa amepita bila kupingwa. CHADEMA waliamua kwenda kwenye hizi kangaroo courts zetu, nako hawakufua dafu.

Mwaka 2015, Deo Filikunjombe tena akashirikiana na mkurugenzi, kutobandika fomu ya mgombea wa CHADEMA, kisha mkurugenzi ambaye alikabidhiwa fomu akagoma kuwa alikabidhiwa, akamtangaza Deo Filikunjombe alikuwa amepita bila kupingwa, japo baadaye mgombea wa CHADEMA alirudishwa kwenye kinyang'anyiro na NEC.

Na matukio ya namna hiyo yamekuwepo maeneo mengi wakati wa uchaguzi. Wagombea wote wa CCM wanaopita bila kupingwa, lazima huwa kuna njama ambazo hupangwa kati ya mgombea wa CCM, mkurugenzi wa Wilaya na Mkuu wa Wilaya.

Hata ukifuatilia siasa za Chato, Rais Magufuli naye alikuwa akipita bila kupingwa kwa kutumia hila zinazofanana na hizohizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaamini kwamba hao majuha wanaowapa fomu wasiostahili, wanafanya hivyo kwa bahati mbaya?

CCM wamekuwa wakitumia hiyo mbinu kwa kuwatumia wakurugenzi wa wilaya kwa miaka mingi ili kutafuta uwezekano wa kupita bila kupingwa. Huwa ni syndicate, na haitokei kwa bahati mbaya.

Mwaka 2010, marehemu Deo Filikunjombe, jimbo la Ludewa alitumia hiyo mbinu kwa kushirikiana na mkurugenzi na DC. Mgombea wa CHADEMA ndugu Mtitu akanyimwa fomu kwa kigezo kuwa mgombea wa CHADEMA amekwishachukua fomu. Kisha yule mgombea mamluki hakurudisha fomu, na mkurugenzi wa wilaya akamtangaza haraka Deo Filikunjombe kuwa alikuwa amepita bila kupingwa. CHADEMA waliamua kwenda kwenye hizi kangaroo courts zetu, nako hawakufua dafu.

Mwaka 2015, Deo Filikunjombe tena akashirikiana na mkurugenzi, kutobandika fomu ya mgombea wa CHADEMA, kisha mkurugenzi ambaye alikabidhiwa fomu akagoma kuwa alikabidhiwa, akamtangaza Deo Filikunjombe alikuwa amepita bila kupingwa, japo baadaye mgombea wa CHADEMA alirudishwa kwenye kinyang'anyiro na NEC.

Na matukio ya namna hiyo yamekuwepo maeneo mengi wakati wa uchaguzi. Wagombea wote wa CCM wanaopita bila kupingwa, lazima huwa kuna njama ambazo hupangwa kati ya mgombea wa CCM, mkurugenzi wa Wilaya na Mkuu wa Wilaya.

Hata ukifuatilia siasa za Chato, Rais Magufuli naye alikuwa akipita bila kupingwa kwa kutumia hila zinazofanana na hizohizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe aliumiza sana hisia za watu kiasi hiki? Duuh malipo ni hapa hapa duniani.
 
Wewe unaamini kwamba hao majuha wanaowapa fomu wasiostahili, wanafanya hivyo kwa bahati mbaya?

CCM wamekuwa wakitumia hiyo mbinu kwa kuwatumia wakurugenzi wa wilaya kwa miaka mingi ili kutafuta uwezekano wa kupita bila kupingwa. Huwa ni syndicate, na haitokei kwa bahati mbaya.

Mwaka 2010, marehemu Deo Filikunjombe, jimbo la Ludewa alitumia hiyo mbinu kwa kushirikiana na mkurugenzi na DC. Mgombea wa CHADEMA ndugu Mtitu akanyimwa fomu kwa kigezo kuwa mgombea wa CHADEMA amekwishachukua fomu. Kisha yule mgombea mamluki hakurudisha fomu, na mkurugenzi wa wilaya akamtangaza haraka Deo Filikunjombe kuwa alikuwa amepita bila kupingwa. CHADEMA waliamua kwenda kwenye hizi kangaroo courts zetu, nako hawakufua dafu.

Mwaka 2015, Deo Filikunjombe tena akashirikiana na mkurugenzi, kutobandika fomu ya mgombea wa CHADEMA, kisha mkurugenzi ambaye alikabidhiwa fomu akagoma kuwa alikabidhiwa, akamtangaza Deo Filikunjombe alikuwa amepita bila kupingwa, japo baadaye mgombea wa CHADEMA alirudishwa kwenye kinyang'anyiro na NEC.

Na matukio ya namna hiyo yamekuwepo maeneo mengi wakati wa uchaguzi. Wagombea wote wa CCM wanaopita bila kupingwa, lazima huwa kuna njama ambazo hupangwa kati ya mgombea wa CCM, mkurugenzi wa Wilaya na Mkuu wa Wilaya.

Hata ukifuatilia siasa za Chato, Rais Magufuli naye alikuwa akipita bila kupingwa kwa kutumia hila zinazofanana na hizohizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi kumbumumbu zinakuwepo kwa watu wachache wengi wetu Tukipewa chai tuu tushasahau
 
Back
Top Bottom