Siwajui majina Yao Ila nafkri hii ndo commedy Bora kabisa Kwa Afrika Kwa sasa

Siwajui majina Yao Ila nafkri hii ndo commedy Bora kabisa Kwa Afrika Kwa sasa

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.

Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.

SAVE_20220618_165258.jpg
 
Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.

Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.

View attachment 2264986
Hahahaah halafu huwa haongei
 
Ko tukuombe au? Weka bwana
Jamaa nina video zao mwanzo mwisho.
Kuanzia ya kwanza mpaka ya Jana.
Ni kama video 500 hivi.
Hawa ni hatari
Bongo tuna waropokaji sio wachekeshaji
Mkihitaji video zao nitaweka hapa free.
T
 
Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.

Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.

View attachment 2264986
Yes ! Hawa jamaa huwa wananimalizia Mb zangu sana ni wabunifu kwelikweli na wanachekesha, sio comedy za bongo za taarifa ya habari ujinga mtupu.

Tatizo la hawa jamaa kidogo ni ubora wa picha zao sio mzuri sana
 
Slowly umeniwahi aseeh
Hawa jamaa wananipotezea bando langu sana yaani kiufupi wanajua sana..
Huyo mwembamba anaitwa nzengue
Huyo mfupi ni jacques
Na huyo mbavu anaitwa hulk.

Yaani nawafananisha na tom ndio nzengue na jack ni jerry huku huyo big ni lile mbwa spike..

Wanatisha sana hasa kile kimdundo mwishoni mwa clip..
 
Jamaa nina video zao mwanzo mwisho.
Kuanzia ya kwanza mpaka ya Jana.
Ni kama video 500 hivi.
Hawa ni hatari
Bongo tuna waropokaji sio wachekeshaji
Mkihitaji video zao nitaweka hapa free.
Naomba nitumie kiongozi
 
Walitisha sana ile clip ya kuiba kuku alafu Jack akafungiwa ndani na kutupiwa chupa na sahani. Na ile ya dada kibonge alipokula misosi ya Jack kisha akakimbiwa akapewa adhabu ya kufyeka.

Alafu wanakuwa na zamu za kuna muda Jack ndio anaonewa baada ya kipindi kupita yeye anaanza kumuonea mwenzake.
 
Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.

Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.

View attachment 2264986
Rasta mzee wa vituko mbona hayupo😅
 
Back
Top Bottom