Hahahaah halafu huwa haongeiHawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.
Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.
View attachment 2264986
TJamaa nina video zao mwanzo mwisho.
Kuanzia ya kwanza mpaka ya Jana.
Ni kama video 500 hivi.
Hawa ni hatari
Bongo tuna waropokaji sio wachekeshaji
Mkihitaji video zao nitaweka hapa free.
Yes ! Hawa jamaa huwa wananimalizia Mb zangu sana ni wabunifu kwelikweli na wanachekesha, sio comedy za bongo za taarifa ya habari ujinga mtupu.Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.
Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.
View attachment 2264986
Hapana sio kweliWanaitwa Sean Bridon
Ni nzengue jamaa anachekesha sana hata sura yake tu 😂😂Heeeeeeeeey....uyo mwingne akishangaaga ivi mi hoi
Naomba nitumie kiongoziJamaa nina video zao mwanzo mwisho.
Kuanzia ya kwanza mpaka ya Jana.
Ni kama video 500 hivi.
Hawa ni hatari
Bongo tuna waropokaji sio wachekeshaji
Mkihitaji video zao nitaweka hapa free.
Rasta mzee wa vituko mbona hayupo😅Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.
Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii inafanya mtu yeyote duniani anaweza kuwaelewa ,...wabongo tunakwama wapi aisee, jamaa naona wanazidi kutambaa Sana, heko na kongole kwao.
View attachment 2264986