Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

Sasa hapo usomi na wewe kususa chakula vinausianaje? Ebu rudi home ukale msosi ukale na mpishi huko, mwanaume mzima una gubuu[emoji23]
Alivuta mpaka na mdomo kama wabibi yake [emoji23][emoji23][emoji23] mke naye mtambo wakati wanaudhi sana, mtu anasusa Asubuhi kazini jioni utasikia siku ya pili sijala unataka kuniua njaa? Wakati huo huo msosi umejaa unafanya kazi ya kupasha
 
Mkuu wewe una mambo ya kiwaki sana,upikiwe chakula uzire eti unasubiri kubembelezwa! Usimchoshe binti wa watu aise
 
Acha tabia za kususa n za kike hzo, at unazra kula teh kisha unataka ubembelezwe 🤣🤣 wacha hzo mambo basi

Me s msomi lkn sbembelez mtu 😎
 
Acha tabia za kususa n za kike hzo, at unazra kula teh kisha unataka ubembelezwe [emoji1787][emoji1787] wacha hzo mambo basi

Me s msomi lkn sbembelez mtu [emoji41]
Umbembeleze wakazi gani, kama mnaweza kumaliza mnamaliza chote na vyombo vinaoshwa, Asubuhi unaamka saa 2 unainjika njugu
 
Mahusiano ni zaidi ya kutambua hilo mkuu

Kuyajua hayo inatosha sana,,, Hasa wakati huu ambao bado user manual ya mahusiano bado haijatoka..

Heri kenda shika, kuliko kumi nenda rudi
 
Kwema watu wa mapenzi?

Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.

Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.

Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.

Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?

Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.

Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.

Asante.
Ukiwa mtu wa kukaa home na kuchungulia chungulia jikoni wife anakuona tu kama jiko lake. Kaa na washikaji uitwe majina matamu ili urudi home kula. Sasa wewe umechuchumaa chini kwenye floor mbele ya sofa unazungusha zungusha kirimoti aisee wife anakuchoka fasta. Acha niwahi kwa bibie Victoire naona sms za mapenzi zimezidi nisije nuniwa bure
 
Mbona mwenye tatizo ni wewe siyo huyo msomi, huo unaoufanya kususasusa ni unyanyasaji ujue ooohh.
 
Kwema watu wa mapenzi?

Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.

Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.

Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.

Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?

Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.

Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.

Asante.
Lower your expectations. Unasubiri kubembelezwa kaka!?!?!

Halafu huyo mama ntilie muoe uone.

Bulauri na sahani ya udongo zote zina sifa za kupasuka.
 
Kuowa msomi ni kujitafutia kifo cha haraka 😁 heart attack 😁 wachache wanajielewa, yani katika vichwa 100 may be ukapata wa 5 tu wametulia, na hao wa 5 ukidumunao shukuru Mungu.
 
Mambo yanakwenda kasi sana Mwanaume mmoja kasema hawezi kuoa Mwanamke mwenye Elimu duni, wewe unashauri Wanaume wenzio wasioe Wanawake wasomi.
 
Usiwasingizie wake zetu wasomi. We utakuwa ni mziwonder na umedekezwa sana Mkuu[emoji1]
 
Mkeo msomi Ila hayupo jamiiforum aisee Basi bado sio mjanja maana najua usingepost..me mke Wangu hajasoma Yuko vzr Kuna point uko sahihi...wasomi Wana dharau sana
Kuna ukweli ila wengine ni tabia ya mtu tu Nna Ndugu ameoa Phd ndani yeye kaishia la 4 mpaka sasa sijaona mwanamke mwenye heshima kama yule na vile msomi anajua kumsoma mtu jinsi gani areact ni mtu asiye na makuu asee katika wanawake 1000 Tz unapata mmoja kama yeye
 
Back
Top Bottom