Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 622
Oya ukitoka hapo kwa mchepuko, nenda bar piga mvinyo wa kutosha na wajuba wako kama wa3.
Alafu muda wa kurudi home njoo na hao wajuba wote mmelewa mle icho chakula, kama hakitoshi muamshe awapikie kingine.
Akigoma sasa hapo sasa anzisha mtafaruku, umembambikia kesi ya dharau.
Alafu muda wa kurudi home njoo na hao wajuba wote mmelewa mle icho chakula, kama hakitoshi muamshe awapikie kingine.
Akigoma sasa hapo sasa anzisha mtafaruku, umembambikia kesi ya dharau.