Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojambona katika hii story pasua kichwa ni wewe???
Kosa gani alifanya huyo Super Woman hadi afikie atua ya kukubembeleza😂Nilitaka anibembeleze
Kuakua kidooogo umeiwahi ndoa, mi kaka ako mbali sisumbuki na mwanamke nikitoka job napita Bar nagonga bia4 na nyama choma, nabeba makange ya samaki napeleka home naingia rum kulala, watoto nawasalimia asubuhi kama nkichelewa kurudi
😂😂😂😂Nilitaka anibembeleze
mwanaume kususa huo ni udada buana...Kivipi mkuu?
Ndio hapo sasa😂😂Kosa gani alifanya huyo Super Woman hadi afikie atua ya kukubembeleza😂
Ndio maana mwanaume akapewa kifua kipanaKuna maudhi hayavumiliki mkuu
😂😂😂😂 Pole sanaNilitaka anibembeleze
Hapa ndipo nilipochokaumeoa msomi wa birmingham halafu mchepuko mama ntilie
kudhira= kuzira
kila mtu anapata wa kuendana nae
Mkeo msomi Ila hayupo jamiiforum aisee Basi bado sio mjanja maana najua usingepost..me mke Wangu hajasoma Yuko vzr Kuna point uko sahihi...wasomi Wana dharau sana
Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.Kwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika,nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka,asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo,nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie,amenihudumia vizuri hadi raha,mpaka sasa bado niko kwake,wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupukia?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.