Siwatishi..wasanii mtubu mpaka december tutawazika wengi

Siwatishi..wasanii mtubu mpaka december tutawazika wengi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu

Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii

January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji

Wasalaamu
 
Kujiita mpakwa mafuta wa Bwana wakati huo huo Id yako inajulikana kwa jina la shetani mmoja (mfraji) ni dalili tosha wewe ndo unayepaswa kutubu na kusali ili usamehewe dhambi zako 😎🤝🏽
 
Watu wanafariki kila siku mkuu kwa sababu binadamu tunatembea na kifo tu. Juzi tu Ombeni Phiri wa startimes kafariki hata 35 hana na aliumwa ghafla hata wiki haijakatika akafariki.

Kwa hiyo kama kuzaliwa ni mlango wa kuingilia, kifo ni mlango wa kutokea. So hakieupukiki mkuu
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu

Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii

January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji

Wasalaamu
unamaanisha waimbaji wa injili au wasanii wa bongo?
 
Watu wanafariki kila siku mkuu kwa sababu binadamu tunatembea na kifo tu. Juzi tu Ombeni Phiri wa startimes kafariki hata 35 hana na aliumwa ghafla hata wiki haijakatika akafariki.

Kwa hiyo kama kuzaliwa ni mlango wa kuingilia, kifo ni mlango wa kutokea. So hakieupukiki mkuu
Kweli kabisa mkuu,twapaswa kuishi kwa kutambua kuwa afya na uhai wetu viko mikononi mwa muumba wetu.
 
Wao ni kina nani wasife? Watu wanakufa kila siku
 
Wabongo bhana kwa kutembelea upepo hawajambo,kuna kipindi pia wasanii waliwah kufa kwa kufatana hv,mchungaji mmoja uchwara nae akatabiri kama hv wakat hakuna ukweli wowote
 
Wasanii ni sehemu ndogo tu ya Jamii tuliyonayo. Wao hufahamika kwa vile karibu kila siku wapo kwenye vyombo vya habari. Hivyo basi wanapofariki habari za vifo vyao hujulikana karibu kila kona ya nchi. Sisi akinakadhalika tupo wengi lakini si rahisi kufahamika. Na hivyo tunapokufa habari hizo wanazifahamu watu wa karibu nasi. Si kweli kwamba wasanii wanaondoka kwa wingi kama unavyofikiria.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu

Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii

January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji

Wasalaamu
Kwahiyo wewe ni Israel ama p diddy mtoa marinda ya watu
😂
 
Back
Top Bottom