unamaanisha waimbaji wa injili au wasanii wa bongo?Rejea kichwa cha habari hapo juu
Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu
Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii
January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji
Wasalaamu
Kweli kabisa mkuu,twapaswa kuishi kwa kutambua kuwa afya na uhai wetu viko mikononi mwa muumba wetu.Watu wanafariki kila siku mkuu kwa sababu binadamu tunatembea na kifo tu. Juzi tu Ombeni Phiri wa startimes kafariki hata 35 hana na aliumwa ghafla hata wiki haijakatika akafariki.
Kwa hiyo kama kuzaliwa ni mlango wa kuingilia, kifo ni mlango wa kutokea. So hakieupukiki mkuu
Wakitubu hata wakifa watakuwa bado wanaishi....Kwahiyo wakitubu wataishi milele?
Kwahiyo wewe ni Israel ama p diddy mtoa marinda ya watuRejea kichwa cha habari hapo juu
Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu
Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii
January mpka March kama n mwanamziki tubu sali sana upepo wa kisuli suli unakuja kwa waimbaji
Wasalaamu