Siwema wa Ney awekwa jela miaka miwili kwa kesi ya kutukana

hivi kumwambia hasimamishi kwa mda mrefu ndo kamtukana jamani? hvi wanaume wa dar mpoje? mkiambiwa hamsiamishi mnawashitaki wadada wa watu sema tatzo alimwambia kwa njia ya mtandao ila angemwambia live wangepigana tu,
 
hivi kumwambia hasimamishi kwa mda mrefu ndo kamtukana jamani? hvi wanaume wa dar mpoje? mkiambiwa hamsiamishi mnawashitaki wadada wa watu sema tatzo alimwambia kwa njia ya mtandao ila angemwambia live wangepigana tu,

Wewe ushazoea kupiga wahaya wenzio Tandika hujui blackmail inakutesa vipi
 
Ikumbukwe kua kumtukana mtu matusi ni kosa la kukupeleka jela,wanawake wengi sana hua tunawasamehe tu pasi kuwafikisha ktk vyombo vya sheria kwa kuwahurumia pasi wao kujua,ila wana tatizo hli la kujirengesha mimba akijua ataolewa na ikienda tofauti wanaanza kukutukana matusi kwa msg,na si lazima kua amezaa tu,mahusiano si lazima yalete ndoa na ikiwa tofauti wanawake huishia kumtukana mwanaume matusi mpaka basi,hapo amehukumiwa ktk haki kwa makosa ya kumtukana mtu
 
 
Mmmmmmh mitusi nomaaa
 
Bwana Jela atainjoi sana,utamu wote huo ameletewa yeye bila hata kuuhangaikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…