Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Umeongea ukweli mtupu
 
HOLY SHIT!
IS JUST LIKE..YOUR BECOME UBER DRIVER & YOU DROP OFF A DUDE AT YOUR GIRLFRIEND'S HOUSE
Ndio maana tulipo kua na melo tulimwambia kuweka mchujo kujiunga JF

ona Sasa JF inakusanya mpaka PPT

Tulio soma chemistry tunajua maana ya PPT
We gebwe sana, we unadhani mi ni mgeni humu JF, mngese mkubwa we
 
na nadhani, maisha yangekuwa bomba sana😂🤣🤣🤣
 
Nakazia tu.
 
Kwa nchi ambayo watu wa makamo ni wengi kuliko vijana ni ngumu sana kuandamana....

Risk ni kubwa sana mtu akiwaza familia na ataiachaje. So namuelewa sa mtoa mada. Hii nchi ikija kuwa na Gen Z wengi ambao hawana cha kupoteza ndipo tutaona mabadiliko.
 
Nani kakwambia uandamane? Sisi tunakemea Mauaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…