Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Umeongea ukweli mtupu
 
HOLY SHIT!
IS JUST LIKE..YOUR BECOME UBER DRIVER & YOU DROP OFF A DUDE AT YOUR GIRLFRIEND'S HOUSE
Ndio maana tulipo kua na melo tulimwambia kuweka mchujo kujiunga JF

ona Sasa JF inakusanya mpaka PPT

Tulio soma chemistry tunajua maana ya PPT
We gebwe sana, we unadhani mi ni mgeni humu JF, mngese mkubwa we
 
Nimecheka Kama mazuri / Kama watu wote ulimwenguni wangekua Kama wewe.

Mpaka muda huu kungesingekua na KATIBA wala HUMAN RIGHTS, KUSINGEKUA NA BUNGE , MAHAKAMA, GEREZA, HOSPITALI, MASHULE, MISIKITI, MAKANISA, VYUO VIKUU, VITUO VYA POLISI

tungekua tunaishi kwenye UJIMA
na nadhani, maisha yangekuwa bomba sana😂🤣🤣🤣
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Nakazia tu.
 
Kwa nchi ambayo watu wa makamo ni wengi kuliko vijana ni ngumu sana kuandamana....

Risk ni kubwa sana mtu akiwaza familia na ataiachaje. So namuelewa sa mtoa mada. Hii nchi ikija kuwa na Gen Z wengi ambao hawana cha kupoteza ndipo tutaona mabadiliko.
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Nani kakwambia uandamane? Sisi tunakemea Mauaji
 
Back
Top Bottom