Siwezi kuishi Dar...

Ukosefu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwamo stress magonjwa kama kisukari, ulaji mbovu na kutofanya mazoezi. Hizo nilizotaja ni sababu chache
Vijana wa dar hawafanyi mazoezi
Wanakula ovyo
Stress za kulipa kodi
 
Kwa sasa Dar hakuna Joto.

Hii itakuwa Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…