Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yani ufike usagara useme ulikuwa Mwanza? Utakuwa si mzima.Kwani mabibo sio dar??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ufike usagara useme ulikuwa Mwanza? Utakuwa si mzima.Kwani mabibo sio dar??
Machips yanaleta nguvuza kiume??Hao uliowaona wengi wametoka mkoani kuja Dar kutafuta maisha, unaposema wengi hawana nguvu za kiume umetembea na wangapi?
Kama huna nguvu za kiume huna tu siyo swala la chips.Machips yanaleta nguvuza kiume??
Ukosefu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwamo stress magonjwa kama kisukari, ulaji mbovu na kutofanya mazoezi. Hizo nilizotaja ni sababu chacheMachips yanaleta nguvuza kiume??
Vijana wa dar hawafanyi mazoeziUkosefu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwamo stress magonjwa kama kisukari, ulaji mbovu na kutofanya mazoezi. Hizo nilizotaja ni sababu chache
Dar Ina wakazi milioni 6 ulipataje hizo takwimuVijana wa dar hawafanyi mazoezi
Wanakula ovyo
Stress za kulipa kodi
Sasa wewe unasema umefika mabibo, je unaijuwa Dar?Vijana wa dar hawafanyi mazoezi
Wanakula ovyo
Stress za kulipa kodi
Vyanzo vipo vingiDar Ina wakazi milioni 6 ulipataje hizo takwimu
Dar pana unzuri gani zaidi ya ushoga na mateja kusinzia barabaraniSasa wewe unasema umefika mabibo, je unaijuwa Dar?
Hizo ni story tu za vijiweni kwa Tanzania Dar ndio imechukua watu wote wa TanzaniaVyanzo vipo vingi
Rudi kwenu ukalime BangiDar pana unzuri gani zaidi ya ushoga na mateja kusinzia barabarani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rudi kwenu ukalime Bangi
MashogaHizo ni story tu za vijiweni kwa Tanzania Dar ndio imechukua watu wote wa Tanzania
Kwa sasa Dar hakuna Joto.Habari zenu..
Juzi nilikuwa Dar maeneo ya Mabibo kweli Dar sio sehemu pakuishi watu. Kwanza vijana wa ovyo sana, wanajiona wajanja halafu pesa hawana, nguo zao sasa za ajabu kweli.
Joto kama jehanamu ndani mtiti nje mtiti, vile vinyumba vyao vifupi kama mabanda ya kufugia nguruwe.
Kuna kasumba mbaya sana, mtoto hamuheshimu mkubwa, yani wanaishi kama kambale ajulikani mkubwa nani mtoto nani.
Vyakuka vya kiwaki mimi siwezi kula chips hata siku moja, mikuku ya kisasa daah mnamkuta kijana anakula chips tomato nyingi na mikuku ya kisasa ndo maana vijana wa Dar hawana nguvu za kiume
Mimi nitaishi Mwanza, Shinyang, Musoma, Mbeya, Iringa, Moshi ila sio Dar
Dar pana unzuri gani zaidi ya ushoga na mateja kusinzia barabarani
Kabla hujafunga milango hakikisha unaishi Songea hata kwa mwezi mmoja.Katika mikoa niliyo tembea mkoa wa kuishi wa kwanza Mwanza wa pili Morogoro tatu Mby
Hivi Kuna sehemu Ina vijana mashoga kama Arusha, watu wanajifanya marasta kumbe wanatafuta mabwana wa kizunguMashoga