“Siwezi kumposti Godzilla, sio rafiki yangu, unafki tu” – Christian Bella

yutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
1,668
Reaction score
1,017
Msanii wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella, amesema hawezi kuposti picha ya mwanamuziki Godzilla ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Bella amesema wakati wa uhai wa Godzilla, hakuwahi kuposti hata wimbo wake au kumsapoti kwa njia yoyote ile hivyo kuposti picha yake leo kwa sababu amefariki dunia huo utakuwa unafki.
 
Unaumwa malaria ndugu mwana JF? au ume_copy na kupest hiyo habari kutoka kwa Crispin?
 
bado sijaelewa kuna nini kimekufanya upost ,hii sijaona jipya
 

He just dont know "Respect for the dead" thing!

Yaani we respect "death" as an act no matter who dies!

This motherfucker is just clueless!
 
Huyu Jamaa kichwa ake iko mayi mingi.

Kuposti kuna husiana vipi na urafiki ama la.

Nadhani Mtu yeyote kama una wafuatiliaji wengi kwenye page yako basi unaweza kuposti tu kama njia ya kuwataarifu wale wanaokufuatilia.

Shabiki yeyote wa muziki anapo posti haimaanishi muhusika ni rafiki yake.

Waweza kuposti Mwanasiasa, Mwanahabari n.k, sio swala la urafiki hapa.
 
Mshikaji yuko real.Hayo ni mawazo na mtazamo wake so sion tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshikaji yuko real.Hayo ni mawazo na mtazamo wake so sion tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayuko real,wasanii wangapi wanampost kazi zake huko Instagram,kumuonyesha support?...kwani angenyamaza hata kama hakuwahi kupostiwa kungempunguzia nini?yeye ameposti wasanii wangapi kuonyesha support?? ningemuelewa kama angesema hivyo kama ingekua alimpost Godzilla kumuonyesha support hafu yeye Godzilla hakumposti
 
Mkongo na mtanzania wapi na wapi
Jinga hilo, nadhani lilishakula yale masembe, kwani sisi tupendaye nyimbo zake twamjua kweli?! Na ndiyo maana hata uraia halipewi, siyo mzalendo huyu...
 
Tuache unafki hili jamaa sijawahi kulikubali wala kulielewa.
 
Huenda akatafsiriwa au kueleweka vibaya lakini alichokisema ni mtazamo na maoni yake.
Hajasema anamchukia marehem, yeye anasisitiza kama hawakuwahi kuwa marafiki au ukaribu na yeye alipokua hai, hawezi leo kuonyesha upendo au ushabiki wa kupitiliza baada ya msiba.

Na hii haimaanishi haombolezi au hajaguswa na msiba, la hasha. Tunatofautiana namna ya kuonyesha hisia zetu mambo yanapotugusa.

Hamjawahi kuona mtu analia msibani kuliko hata wafiwa wenyewe hadi watu wanauliza, huyu ni nani kwa marehem?
 
Hujaelewa kilichochoandikwa, rudi kasome tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…