yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Msanii wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella, amesema hawezi kuposti picha ya mwanamuziki Godzilla ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Bella amesema wakati wa uhai wa Godzilla, hakuwahi kuposti hata wimbo wake au kumsapoti kwa njia yoyote ile hivyo kuposti picha yake leo kwa sababu amefariki dunia huo utakuwa unafki.
Bella amesema wakati wa uhai wa Godzilla, hakuwahi kuposti hata wimbo wake au kumsapoti kwa njia yoyote ile hivyo kuposti picha yake leo kwa sababu amefariki dunia huo utakuwa unafki.