Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tunaitwa mama siku hizi na ni kharaam kumuita mke mama lakini siku hizi utaskia "nambie mama,nini mama,tatizo likowapi hapo mamangu''...... nasisitiza hajarogwa bado.Si bado hujarogwa!
Bila shaka ww ni mkulyaNamuitaga tu jina lake mambo ya kumuita baby sijui mpenzi sijui honey naonaga ulimi mzito na iyo ni kwa mademu zangu ote niliokuwaga nao
[emoji119][emoji119]Mimi hadi jina kwenye simu nimesave kadri alivyoandikishwa katika kadi yake NIDA. Majina matatu
Hahaha kuna mtu nilibahatika kuona alivyonisave.. kanisave jina, cheo na mahali pa kazi like ‘Depal mlinzi Suma JKTMimi hadi jina kwenye simu nimesave kadri alivyoandikishwa katika kadi yake NIDA. Majina matatu
Sasa Mwantumu unataka litamkwaje kimahaba? 😂😂Kumuita kwa jina lake sio mbaya,tatizo linaanzia pale kwenye namna ya kulitamka hilo jina,ili ionekane angalau kuna mahaba ndani yake!
[emoji15][emoji15]Sasa Mwantumu unataka litamkwaje kimahaba? [emoji23][emoji23]
Na linafeeling zake amazing..Watu tunaitwa mama siku hizi na ni kharaam kumuita mke mama lakini siku hizi utaskia "nambie mama,nini mama,tatizo likowapi hapo mamangu''...... nasisitiza hajarogwa bado.
Khaaa🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Mwantumu unataka litamkwaje kimahaba? 😂😂
Hahaha kuna mtu nilibahatika kuona alivyonisave.. kanisave jina, cheo na mahali pa kazi like ‘Depal mlinzi Suma JKT
Nikamwambia edit, Sijapenda… unanisevuje hivyo sasa?
Weee me hivyo sitaki 🤣🤣Hivyo ndio napenda sana. Kwanza inakua imekaa kimahaba kabisa
Weee me hivyo sitaki [emoji1787][emoji1787]
Na nikikusave jina lako, basi nitakuwekea vikopa na viua