Siwezi kutoboa, Waalimu elfu 28 kugombea nafasi 183. Narudi kulima

Siwezi kutoboa, Waalimu elfu 28 kugombea nafasi 183. Narudi kulima

Naonekana ntu ya kulalamika lakini hii ni zaidi ya kubeti. Tupo walimu elfu 28 tunaogombania nafasi 183. Kichwa changu nakijua ningejipa moyo kama Nafasi zingekuwa walau elfu Moja. Chuoni tuu nimeondoka na GPA ya 2.8. lekodi yangu hainipi Imani. Acha niludi kuendelea kulima
Bora kama umelitambua hilo utakuwa salama,wenzio wanageuka walevi na vichaa huko mtaani kwa kushindwa kuutambua ukweli na kujikubali.
 
Sasa kwenye kilimo ondoa mentality ya kuwa mzito kichwani. Usifanye kama bora iende
 
Nenda kwenye interview halafu rudisha mrejesho hapa. Utatoboa Mkuu
 
Naonekana ntu ya kulalamika lakini hii ni zaidi ya kubeti. Tupo walimu elfu 28 tunaogombania nafasi 183. Kichwa changu nakijua ningejipa moyo kama Nafasi zingekuwa walau elfu Moja. Chuoni tuu nimeondoka na GPA ya 2.8. lekodi yangu hainipi Imani. Acha niludi kuendelea kulima
Uko right ingawa kwenye iyo idadi kuna watu wapeitwa twice ikimaanisha masomo 2 tofauti
Mfano kuna mwalimu ameitwa KISWAHILI NA KIINGEREZA meaning that anachangia idadi sehemu mbili tofauti. Kulingana na hilo ina maana pamoja na watu kuwa wengi that factor counts. So the number is smaller than we think. #fanyainterviewuwezijua
 
Naonekana ntu ya kulalamika lakini hii ni zaidi ya kubeti. Tupo walimu elfu 28 tunaogombania nafasi 183. Kichwa changu nakijua ningejipa moyo kama Nafasi zingekuwa walau elfu Moja. Chuoni tuu nimeondoka na GPA ya 2.8. lekodi yangu hainipi Imani. Acha niludi kuendelea kulima
Lekodi
 
Mtaani kugumu ndo maana hata muhindi akiniita PIKINE.poa tu.najua naingiza kitu.hamna noma
 
Naonekana ntu ya kulalamika lakini hii ni zaidi ya kubeti. Tupo walimu elfu 28 tunaogombania nafasi 183. Kichwa changu nakijua ningejipa moyo kama Nafasi zingekuwa walau elfu Moja. Chuoni tuu nimeondoka na GPA ya 2.8. lekodi yangu hainipi Imani. Acha niludi kuendelea kulima
Poreeeeeee! 😅
 
Vijana Wana peana moyo eti bora kuingia data base..ajira ziliisha 2014 labda serikali irekebishe sheria kustaafu iwe miaka 45 au 50 kwa lazima
 
Si nimesikia nafasi ni 11,000 walioomba ni 15,000??
 
Umejiandikisha kupiga kura?? Majobless tuna jambo letu mwakani, tafadhali kama Zoezi la uboreshaji daftari la kudumu linaendelea huko kwenu hakikisha umejiandikisha. Pia daftari la mkaazi hakikisha umejiandikisha.
Naonekana ntu ya kulalamika lakini hii ni zaidi ya kubeti. Tupo walimu elfu 28 tunaogombania nafasi 183. Kichwa changu nakijua ningejipa moyo kama Nafasi zingekuwa walau elfu Moja. Chuoni tuu nimeondoka na GPA ya 2.8. lekodi yangu hainipi Imani. Acha niludi kuendelea kulima
 
Back
Top Bottom