Siwezi kuyaona masikio yangu nikijipiga selfie au Passport size, nifanye nini?

Siwezi kuyaona masikio yangu nikijipiga selfie au Passport size, nifanye nini?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kuanzia mwezi wa March nimekuja kugundua nikijipiga picha masikio siyaoni kabisa, ni mpaka nigeukie kamera upande wa sikio, kiukweli napata stress.

Baadhi ya watu wanasema nmenenepa ila ni mara chache na mimi huwa najiona kawaida tu, kama ni hivyo nawezaje kutatua hilo tatizo la masikio
 
download (16).jpeg

Kifupi jamaa anaonekana hivi😂
 
POLE SANA MKUU NJOO INBOX NIKUUZIE MIWANI UTAYAONA VEMA MASIKIO YAKO
 
kuanzia mwezi wa March nimekuja kugundua nikijipiga picha masikio siyaoni kabisa, ni mpaka nigeukie kamera upande wa sikio, kiukweli napata stress,

Baadhi ya watu wanasema nmenenepa ila ni mara chache na mimi huwa najiona kawaida tu, kama ni hivyo nawezaje kutatua hilo tatizo la masikio
Weka pamba nyuma ya maskio uyapige jeki
 
Yafanyie make up kwanza....ujue kuana baadhi ya vitu havipendi kupigwa pigwa picha bila "kudamshi"
 
Kuanzia mwezi wa March nimekuja kugundua nikijipiga picha masikio siyaoni kabisa, ni mpaka nigeukie kamera upande wa sikio, kiukweli napata stress.

Baadhi ya watu wanasema nmenenepa ila ni mara chache na mimi huwa najiona kawaida tu, kama ni hivyo nawezaje kutatua hilo tatizo la masikio
[emoji134][emoji134][emoji134]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom