Six Tanzanian schoolchildren killed in 'grenade' explosion

Six Tanzanian schoolchildren killed in 'grenade' explosion

Ulaji wa albino na kuwaua watoto hao maskini wa ulemavu wa ngozi umeskia Kenya??? Roho ngumu za kishetani mnazo nyie sio sisi.
Hata tetemeko la ardhi la Kagera tulikuja kutoa msaada wakati nyie mlikausha...
Hivi kati ya MTz na Mkei unaeza ukasema Mtz ana roho ngumu!! No way.. nyie jamaa mnauna sana wenyewe kwa wenyewe, kisa ukabila tu. Juzi tu mmeanza mtindo wa kubaka wamama walio jifungua, who does that!!! Nai wakora kukutoa roho kisa wallet ni rahisi sana, Jamaa zangu wawili wameuwa kwenye street robberry. Ata majambazi yanayo fanyaga matukio makubwa hapa Tz yakikamatwa mengi yanakua ni kutoka Kenya.
 
JF imeingiliwa. Yule aliyeshauri kuwa kabla ya kuingia tuangilie umri hakukosea. Yaani mtu anashindwa kutofautisha kati ya news na issues in a tabloid, for THIS case website.

CC: Niksta254
2sh81.jpg
jordo.jpg


Bado walia!!!! pole sana toto
 
Hivi kati ya MTz na Mkei unaeza ukasema Mtz ana roho ngumu!! No way.. nyie jamaa mnauna sana wenyewe kwa wenyewe, kisa ukabila tu. Juzi tu mmeanza mtindo wa kubaka wamama walio jifungua, who does that!!! Nai wakora kukutoa roho kisa wallet ni rahisi sana, Jamaa zangu wawili wameuwa kwenye street robberry. Ata majambazi yanayo fanyaga matukio makubwa hapa Tz yakikamatwa mengi yanakua ni kutoka Kenya.

Mifano uliyotolea ipo kwenye miji mikuu yote ulimwengu huu, hamna jipya hapo, ila sasa nyie ndio mna matukio ya kinyama ambayo hayana mfano nchi nyingine yoyote, kunyofoa viungo vya albino wengine hata wakiwa hai, unakuta mnakata mkono na kukimbia nawo, hayo hayapo nchi nyingine yoyote dunia hii isipokua Tanzania, hivyo nyie hamna hadhi ya kuelekeza kidole cha lawama kwa nchi au taifa yoyote maana vituko vyenu vimepitiliza.

Mna vituko vyakumshangaza hata shetani, yaani hata mnawazidi alshababi kwa unyama. Siku nyingine msikurupuke, kama mtu akiwatolea pole kwa janga ndani ya nchi yenu muwe mnashukuru sio kuanza kuleta pumba za lawama....over and out
 
Bora haikufanyika Burundi wala Afghanistan but anyway both are LDCs foa all I care.
Naona mnavyojitahidi kushindana na Tz[emoji23][emoji23] mmeshindana weee mmekopa mpaka mwisho Wa siku mmeingia kwenye madeni ya kufa na nchi imebakia BROKE[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona mnavyojitahidi kushindana na Tz[emoji23][emoji23] mmeshindana weee mmekopa mpaka mwisho Wa siku mmeingia kwenye madeni ya kufa na nchi imebakia BROKE[emoji23][emoji23][emoji23]
Middle income inashindana na LDC???😀😀😀😀
 
Middle income inashindana na LDC???😀😀😀😀
Mtakoma na hayo madeni[emoji23][emoji23] mpaka mmeamua kumpa Raila Nusu mkate.. Now Kenya is officially run with two Presidents.. Msingempa Raila Nusu Uraisi tungewawekea vikwazo mpaka mfe kiuchumi..
 
Back
Top Bottom