mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Kiufupi wameshakubali kumtosa jiwe maana yeye alitaka Tundu lissu aondolewe,hivyo msajili ameigomea ikulu ya jiweWajaribu kufanya hivyo wataona matokeo yake.
Wasitake kutuvuruga,Mambo yalikuwa shwari muda wote,Sasa wameanza chokochoko.Wajaribu kufanya hivyo wataona matokeo yake.
Unaishi Mbezi au chamwino au mtumba?Lisu amesha jua ameshindwa kwenye uchaguzi wa urais anachofanya ni kuongea hovyo ili wanao shutumiwa wa panic na wapoteze uelekeo.kinachotakiwa Taasisi zote zinazoshutumiwa kwa uongo Zi mvumilie, panapo majaaliwa Tarehe 28/10/2020 wa Tanzania watakwenda kumpa malipo anayo stahili.
Na nilisha sema amani ikihatibika ccm ndio watasababisha wameanza choko chokoWasitake kutuvuruga,Mambo yalikuwa shwari muda wote,Sasa wameanza chokochoko.
Wakati wamuita mwenzako mbuzi,watu Sasa tumeamua kuweka taifa kwenye maombi ,kuanzia kesho japo sio mchungaji ,nitatekeleza ambayo ameniagiza ,Acha mikwara mbuzi bwashee!
" mkwara mbuzi"Wakati wamuita mwenzako mbuzi,watu Sasa tumeamua kuweka taifa kwenye maombi ,kuanzia kesho japo sio mchungaji ,nitatekeleza ambayo ameniagiza ,
Nafunga siku 14 kwa kula Mara moja nakutaja mstari mmoja alioniambia kwa siku kumi 14,nakushukuru mungu wangu na nitafanya hivyo ,taifa kwanza
Asante mkuu ,mungu awe pamoja nawe ," mkwara mbuzi"
Labda wewe u mgeni hapa mjini!
Kweli wewe JUHA kwani Huyo Tundu anamadhala gani paka wahangaike nayeKiufupi wameshakubali kumtosa jiwe maana yeye alitaka Tundu lissu aondolewe,hivyo msajili ameigomea ikulu ya jiwe
Awe pia nawe!Asante mkuu ,mungu awe pamoja nawe ,
Hats m.kiti alisema hivyo miaka 5 .iliyopita na Leo maji ya shingo,ameamua kugeukia mbeleko na hazitafanya kazi .kwani na zenyewe zilisha choka.Chama cha Mbowe, kitajifuta chenyewe kwa kukosa ruzuku.
Hivi chama cha Mbowe kimesajiliwa na Msajili?Chama cha Mbowe, kitajifuta chenyewe kwa kukosa ruzuku.
Hao watanzania ni tofauti na wale waliobomolewa nyumba zao?Lisu amesha jua ameshindwa kwenye uchaguzi wa urais anachofanya ni kuongea hovyo ili wanao shutumiwa wa panic na wapoteze uelekeo.kinachotakiwa Taasisi zote zinazoshutumiwa kwa uongo Zi mvumilie, panapo majaaliwa Tarehe 28/10/2020 wa Tanzania watakwenda kumpa malipo anayo stahili.