Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Mmeamkaje?

Tulizoea wazee wa zaman wakijisifu kuwa kumpiga mwanamke ni kumnyoosha. Sasa cha ajabu kumbe bado ipo hii issue juzi kuna jirani yangu kapigwa night na mumewe yaan kipigo kweli, kiasi kwamba tukajua tukiamka atakuwa ameondoka lakini cha ajabu tunamwona anaenda sokoni huku USO wake kauzungushia kanga nahisi jamaa alikuwa anapiga za uso tu yan vichwa kwa sana (Kimoyomoyo nikajisemea mwanamke mwenzangu anamoyo kweli).

Za chini chini nasikia kapigwa kisa anapenda kuwa na mashost so kati ya shost mmoja kamletea habari that mumewe anakula mama mchungaji nadhani ile fikisha ujumbe kwa mume ndo iliyomponza. Sijui alifikisha shingo ikiwa imerefushwaa? Yaani daa.

Siyo lazima mtupige jamani, hivi kinachopelekea mpaka mnyooshe mkono kutupiga ni nini wakati kuelewana kwa maongezi inawezekana?
 
Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC

Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau

Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
 
Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC


Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau



Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
[emoji38][emoji38] Duh! Kweli hasira hasara.
 
Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC


Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau



Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
Ha ha haaa, aisee
 
Nunua tu nyingine mkuu, huyo uliyenae sasa kwa vile sio wa Manzese hataivunja. Ila na wewe udhibiti simu yako ili asione sms zisizomhusu.
Sahihi
 
Sijawahi mpo
Mmeamkaje?

Tulizoea wazee wa zaman wakijisifu kuwa kumpiga mwanamke ni kumnyoosha..sasa cha ajabu kumbe bado ipo hii issue...juzi kuna jirani yangu kapigwa night na mumewe yaan kipigo kweli,kiasi kwamba tukajua tukiamka atakuwa ameondoka.

Lakini cha ajabu tunamwona anaenda sokoni huku USO wake kauzungushia kanga nahisi jamaa alikuwa anapiga za uso tu yan vichwa kwa sana.( kimoyomoyo nikajisemea ...mwanamke mwenzangu anamoyo kweli).
Za chinichini nasikia kapigwa kisa anapenda kuwa na mashost so kati ya shost mmoja kamletea habari that mumewe anakula mama mchungaji...nadhani ile fikisha ujumbe kwa mume ndo iliyomponza..
Sijui alifikisha shingo ikiwa imerefushwaa!!!? Yaan daa.

Siyo lazima mtupige jaman,ivi kinachopelekea mpaka mnyooshe mkono kutupiga ni nn wakati kuelewana kwa maongez inawezekana?

Sijawahi piga mke Wala mpenzi Nina ndoa ya miaka 14
 
Alikua anaamini Anaweza kunifua[emoji23][emoji23] siku alizingua nlimpa kichapo Hadi akaita "Majiraniii Nakufaaa" Ila uzuri nilifunga geti vizur kbla cjaanza kazi...Asahvii aaaah burudaaniii + heshima.
Kiufupi mlikuwa mnapimana
 
Alikua anaamini Anaweza kunifua[emoji23][emoji23] siku alizingua nlimpa kichapo Hadi akaita "Majiraniii Nakufaaa" Ila uzuri nilifunga geti vizur kbla cjaanza kazi...Asahvii aaaah burudaaniii + heshima.
Mmmh mbona unaokana kwenye Avatar yako wewe ndio umepigwa
 
Back
Top Bottom