Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nimeongea kama baba😳Kumbe nawe umo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeongea kama baba😳Kumbe nawe umo
Sijawahi kumpiga mke wangu....Ndoa ya miaka 8 sasa, plus dating kama wapenzi miaka 5, jumla miaka 13.Mmeamkaje?
Tulizoea wazee wa zaman wakijisifu kuwa kumpiga mwanamke ni kumnyoosha..sasa cha ajabu kumbe bado ipo hii issue...juzi kuna jirani yangu kapigwa night na mumewe yaan kipigo kweli,kiasi kwamba tukajua tukiamka atakuwa ameondoka.
Lakini cha ajabu tunamwona anaenda sokoni huku USO wake kauzungushia kanga nahisi jamaa alikuwa anapiga za uso tu yan vichwa kwa sana.( kimoyomoyo nikajisemea ...mwanamke mwenzangu anamoyo kweli).
Za chinichini nasikia kapigwa kisa anapenda kuwa na mashost so kati ya shost mmoja kamletea habari that mumewe anakula mama mchungaji...nadhani ile fikisha ujumbe kwa mume ndo iliyomponza..
Sijui alifikisha shingo ikiwa imerefushwaa!!!? Yaan daa.
Siyo lazima mtupige jaman,ivi kinachopelekea mpaka mnyooshe mkono kutupiga ni nn wakati kuelewana kwa maongez inawezekana?
HongeraSijawahi mpo
Sijawahi piga mke Wala mpenzi Nina ndoa ya miaka 14
Pale upande wa kanga unaposhindikana inabidi tu utumie upande wa panga kuitunza heshimaMwanamke anachapwa kwa fimbo ya musa...😋 ama kipande cha khanga...😘
Kuta sasa mijanaume ya huku Mara inapigana na mwanamke kana kwamba ni bodia mwenzake, ila wanawake wa huo mkoa nao wabishi aiseeeeee....😜
Sijawahi kumpiga mke wangu....Ndoa ya miaka 8 sasa, plus dating kama wapenzi miaka 5, jumla miaka 13.
Huwa nampiga kwa ile fimbo ya nyama tuliyobarikiwa nayo wanaume.
Huwa akinikosea namuacha kwanza, namuangalia tuu... Baadae nikimkamata namsukumizia kipande cha nyama kwa hasira na spidi ya hatari, hadi anatoa machozi na anaomba msamaha mwenyewe, anasema nisamehe mume wangu sirudii tena.
Muwe mnatusameheUnaweza ukawa unaongea nae taratibu tu ye akasema niuwe Sasa nipige Kama we mwanaume
Hata Kama hasira huna unaona Kama umedhaurilwa sana lazima umnyoshe kidogo
Kingine mazoea yanapitiliza mpaka mnaona wanaume ni washikaji zenu
Haya mambo magumu sana mkuu, ebu ngoja nije kuleta mrejesho siku nikija kuoa...😉😂 mfano kumpiga kichwa
Ulikua na mwili mdogo mdogo Nini?Alikua anaamini Anaweza kunifua[emoji23][emoji23] siku alizingua nlimpa kichapo Hadi akaita "Majiraniii Nakufaaa" Ila uzuri nilifunga geti vizur kbla cjaanza kazi...Asahvii aaaah burudaaniii + heshima.
Wala, kawaida tu.Ujue una mkono wa mtoto...
😅😂😂Tatizo Ni Mdomo TU.......[emoji4]View attachment 2157699
Hakika wengine watajifunza hiliWala, kawaida tu.
Mwanamke ukiwa unampiga vizuri kwa fimbo ya nyama uliyopewa na Mungu, hutahitaji kabisa kumpiga vibao/ngumi/mateke.
Mwanamke anaegongwa vizuri haswa anakua na heshima kweli kweli kwa mumewe/mpenziwe. Na hata anapoteleza na kumkosea mpenziwe, wakati anasukumiwa nyama kisawa sawa,anakumbuka ujinga wake wote na kujuta kwa nini anamfanyia ujinga mwanaume anaemto.mba kwa ustadi kiasi hicho? Hivyo huomba msamaha haraka sana wakati wa game, na hata hutoa machozi na kuapa hatarudia tena.